Wahadzabe na watindiga nauhakika hawapo pale kariakooWe naye hebu acha upumbavu wako watu wanakufa unaleta mambo ya ukabila
Kariakoo hakuna kabila hata moja Tanzania ambalo halipo
We ni mpumbavu hakika
ukipitisha grader ndio unawazika kabisa.Unasuburi masaa 5 watu wana suffocate kwenye vifusi, huu utaalam au uzembe🚮
Daaaaaahhhh😂😂😂😂😆daah tusi kubwa hiliA condom could have prevented this post.
Mmmh mkuu kwanini..ukipitisha grader ndio unawazika kabisa.
Tuache ujuaji
Maghorofa mengi ya kariakoo ni ya mchongo tu alafu nawashangaaga watu utasikiaa kko wanashusha vitu banaNaogopa hata kupita karibu na ghorofa linalojengwa, naona kama vitu vimeegeshwa tu.
Wataalam wapi haoooNdio maana Chalamila amehimiza utulivu na uokoaji kwa kutumia wataalamu...sisi wengine tunajipeleka kutafuta clips kwa ajili ya likes za Instagram
Or abortionOr P2
Jinga kabisa wewe hujui kusoma au vip? Kuna sehemu nimeandika mambo ya ukabila hapo?We naye hebu acha upumbavu wako watu wanakufa unaleta mambo ya ukabila
Kariakoo hakuna kabila hata moja Tanzania ambalo halipo
We ni mpumbavu hakika
Naona majeruhi wanawaweka kwenye kirikuu 😄Tunamshukuru Samia!
Hizo nyaya za umeme nazo zitafutiwe namna mpya ya kuwekwa.
Hiyo ndiyo CCM yenu.Ni hatari sana.
Tatizo kubwa zaidi lililopo Tanzania ni kwamba Hakuna mamlaka madhubuti za kudhibiti viwango na ubora wa Majengo pamoja na ubora wa bidhaa zingine mbalimbali.
Watanzania tunaishi kwa nguvu ya Mungu tu peke yake.
Tusi kubwa ni kusifia vifo vilivyowapata Watanzania wenzako, wazazi, watoto na wengi .Daaaaaahhhh😂😂😂😂😆daah tusi kubwa hili