Pole kwa wote waliofikwa na janga hilo.
Kuna post nitaitafuta ni majuma mawili sasa yamepita kuna mdau aligusia kuhusu ubomoaji na ujengaji holela maghorofa Kariakoo huku akitahadharisha utokeaji wa majanga kutokana na kutofauata kanuni za ujenzi na usimamizi wa kitaalamu.
Pia imejionyesha Tanzania bado haijawa tayari katika disaster preparedeness hasa katika soko la Kariakoo, lile tukio la moto naona halikutoa fundisho.
Kuna post nitaitafuta ni majuma mawili sasa yamepita kuna mdau aligusia kuhusu ubomoaji na ujengaji holela maghorofa Kariakoo huku akitahadharisha utokeaji wa majanga kutokana na kutofauata kanuni za ujenzi na usimamizi wa kitaalamu.
Pia imejionyesha Tanzania bado haijawa tayari katika disaster preparedeness hasa katika soko la Kariakoo, lile tukio la moto naona halikutoa fundisho.