Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Siasa ziko wapi? Watu kudanya uokozi ni siasa? Dont politisize everythingUsilete siasa kwenye kila jambo we kenge wa kijivu.
Kuokoa hakupaswi kuangalia nani anaokoa bali nguvu ya pamojaMkifika pale ndipo ujue hii nchi ilivyo mtafukuzwa...
Watatumia sababu yeyote, cause kwenda kufanya uokozi itachukuliwa mnatafuta ushawishi...
Na kuenguliwa kwenye chaguziHamna huko hatuji sisi Bavicha kazi yetu ni kukosoa kwa twitter/X
Hamna huko hatuji sisi Bavicha kazi yetu ni kukosoa kwa twitter/X
Mtapigwa virungu mpk mchakaeHuu ndio wakati wa kuonesha uzalendo wetu kwa nchi yetu.
Tujitokeze kwa wingi ili tupewe utaratibu kutoka kwa kiongozi mahususi wa kikosi cha majanga na uokozi.
Hii ni fursa kwa Bavicha kuonesha si tu uzalendo lakini pia umoja na ushiriki ktk majanga ya Kitaifa.
Hima Hima Twende kwa wibngi na kwa pamoja.
Je na hili linahitaji kibali?
Sidhani kama utakuwa uko sahihi kwa Hoja yako hii kuhusiana na tukio hili.kitaalamu hii ni sahihi kabisa katika response ya Majanga...huwezi kimbiza rasilimali zote at per kwenye eneo active la ajali ...unajuaje ajali nyingine inaweza kuendelea??Umejiridhisha vipi kama sio tukio "chambo" ili muingie kichwa kichwa ??
Tupunguze lawama pasipohitaji lawama.
Unaikumbuka Septemba 11 ??Jengo la kwanza limepigwa wote wakakimbilia pale halafu likapigwa na jengo la pili ...sasa baada ya hapo wahanga na waokoaji wote wakawa wahanga.
Tupigwe tena badala ya kuungwa mkpono?Mtapigwa virungu mpk mchakae
Wewe unaongelea kitandani na wajukuu zako hapo. Unajichekesha tuIngekuwa mgomo wa Wafanyabiashara Kamati Kuu ya Bavicha ingehamia Kariakoo kuchochea ππ