Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

ni wanne hadi kufikia saa 11 jioni ...hiyo ni rasmi kutoka vyombo rasmi
Lazima tuwape hongera kwa kuokowa hidadi kubwa,..... "kwa kweli tunamsshukuru Raisi kwa kuwezesha waokoaji" ni suala la mda utasikia hi nchi inawapumbavu wengi.
 
Nani kakwambia kama hao wachache hawakuwasili ndani ya muda?
So far the response has been handled professionally.
Kumbuka kazi muhimu ya uokoaji au vikosi vya uokoaji ni kwa ajili ya wale mahututi ....katika scene kama hii wapo wengi wanaoweza kujiokoa hawa huwa na madhara machache.
Inahitajika akili kuwaokoa walio mahututi.
Haraka haraka isiyo na utaalamu ina madhara ya kuwaumiza hata wale wanaoweza kujiokoa au hata kuwaokoa wenzao.
Hebu tuwaachie Serikali na Wananchi wazalendo watimize jukumu hili ...sio kulaumu nyuma ya keyboard
Suala hili Hatuwezi kuliacha mikononi mwa Serikali kwa sababu Serikali hiyo hiyo ilikuwa na wajibu wa msingi kabisa wa kutoa Kinga ili ajali kama hizi zisitokee, lakini Serikali inaonekana kushindwa kutekeleza wajibu wake huo na hatimaye ajali hii imetokea wakati kulikuwa na uwezekano wa kuikinga isitokee. Serikali inapaswa kulaumiwa kwenye suala hili, kwani ajali hii haikusababishwa na kudra za Mungu Bali ni kutokana na tatizo la uzembe, rushwa na kukosa kuwajibika ipasavyo kwa Watu fulani fulani.
Ajali hii ilikuwa inazuilika na ilikuwa inaweza kuepukika.

This accident is not a natural disaster but it is a man-made disaster due to the negligence and incompetence.
 
Nimeona mahali kwamba Zoezi la uokozi limeahirishwa pale Kariakoo kisa Giza au Usiku umeingia.

Binafsi naona kwa Dunia ya sasa yenye Teknolojia za kila aina kusitisha Zoezi la kuokoa watu kisa Giza ni jambo la kushangaaza kwa Nchi kama Tanzania.

Gorofa lenyewe ni moja kwa jiji lenye kila rasilimali za kila aina Dar es salaam, bado linatushinda... Je yangeanguka magorofa matano au zaidi tungemudu vipi kuokoa watu, au tukio hilo lingetokea huko Tandahimba.

Kiuhalisia Jeshi la uokozi na watu wanaohusika moja kwa moja na kazi hizi za uokoaji wajitathmini, n kukaa tayari kwa majanga ya hapo baadae endapo yakitokea basi tuweze kupambana nayo kikamilifu na sio kukwamishwa na Giza.

Zoezi kubwa limefanywa na wananchi ambao hata Elimu ya uokoaji hawana, ila wamepambana kuokoa binadamu wenzao na kuhakikisha wanatoka wakiwa hai.

Niwapongeze wananchi aisee, kazi nzuri
Mzeee hapo hapo wanataka na kupiga pesa utasikia zoezi ya uwokoaji limeghalimu 50mil bong nyoso
 
Nani kakwambia kama hao wachache hawakuwasili ndani ya muda?
So far the response has been handled professionally.
Kumbuka kazi muhimu ya uokoaji au vikosi vya uokoaji ni kwa ajili ya wale mahututi ....katika scene kama hii wapo wengi wanaoweza kujiokoa hawa huwa na madhara machache.
Inahitajika akili kuwaokoa walio mahututi.
Haraka haraka isiyo na utaalamu ina madhara ya kuwaumiza hata wale wanaoweza kujiokoa au hata kuwaokoa wenzao.
Hebu tuwaachie Serikali na Wananchi wazalendo watimize jukumu hili ...sio kulaumu nyuma ya keyboard
Mahututi chini ya kifusi kama hawakufikiwa mapema ni kifo. Sijakuelewa.
 
Back
Top Bottom