Umekielewa nilichoandika au umejiandikia tu ilimradi umeandika.Looh!
Huna hata aibu?
Have some shameNimekusamehe pasipo gharama ya aina yoyote ile
Leo mama hajakufikia?Ndugu zangu Watanzania,
Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.
Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.
Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.
Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..
Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Unajisikiaje unapotoa lugha chafu kama kichaa au mwendawazimuHave some shame
labda nikuulize kwa kutumia akili uliyopewa na Mwenyezi Mungu,unazani nini kilichosababisha ghorofa kuanguka?Ndugu zangu Watanzania,
Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.
Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.
Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.
Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..
Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Ni kweli wewe siyo chawa.Mimi siyo chawa
Maku weweUnajisikiaje unapotoa lugha chafu kama kichaa au mwendawazimu
Lucas Mwashambwa the headless chicken!Ndugu zangu Watanzania,
Nimekutana na kufanya mazungumzo na wana CCM wenzangu mitaani .ambapo wana CCM mbalimbali kutoka maeneo mbalimbali wameumizwa na kuumia sana mioyo yao kutokana na kuporomoka kwa Ghorofa kulikopelekea baadhi ya watu kupoteza Maisha na wengine kujeruhiwa vibaya.
Tukio hilo limegusa hisia na kuwapa simanzi kubwa sana wana CCM.ambapo nimeshuhudia wengine wakishindwa hata kuficha hisia zao za uchungu na kuishia kububujikwa na machozi ya huzuni na maumivu walipokuwa wanafuatilia shughuli nzima za uokoaji.zilizokuwa zikifanywa na watu mbalimbali kama ilivyo kawaida ya watanzania kushikamana na kushirikiana yanapotokea matukio ya namna hiyo yenye kugusa Maisha ya watu.
Wana CCM hao wamewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuendelea kushirikiana na kuungana kwa pamoja wakati huu kuwasaidia wenzetu waliopata na mkasa huu.lakini pia kuwaombea wale waliopata na majeraha kupona kwa haraka. Wana CCM hao wamewaomba Watanzania kuwa huu ni wakati wa kuungana na kushirikiana kwa pamoja na siyo kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama.
Lakini pia wana CCM hao niliozungumza nao wametoa rai kwa mamlaka zinazohusika, kufanya ukaguzi wa kina kwa majengo yote marefu yaliyopo mijini na yale yanayoendelea kujengwa ,ili kujiridhisha ubora wake na usalama wake kwa watu mbalimbali wanaozunguka maeneo hayo. Lakini pia wametoa rai na kuomba kuwa ukaguzi ufanyike katika kila hatua za ujenzi wa jengo lolote lile kubwa linaloanza kujengwa..
Wameendelea kusema ya kuwa wale wanaotaka kubomoa na kujenga upya ,basi tahadhari kubwa ichukuliwe ya kuhakikisha kuwa madhara hayatokei kwa watu. Hii ni pamoja na kufanya tathmini juu ya nyenzo za kuzuia ajali au kuporomoka kwa ghafla kwa jengo,kuweka kingo zitakazozuia kutokea kwa madhara kwa watu wanaoishi au kufanyia shughuli zao karibu na jengo husika linalohitajika kubomolewa kwa ajili ya ujenzi mpya au ukarabati Mkubwa.
Nimesema na kuandika kuwa huu si wakati wa kutupiana lawama wala kunyoosheana vidole vya lawama.labda nikuulize kwa kutumia akili uliyopewa na Mwenyezi Mungu,unazani nini kilichosababisha ghorofa kuanguka?
Nilijua tu kwa akili zako ndogo za kichawa ulizokuwa nazo hata swali dogo la mtoto wa darasa la kwanza huwezi kulijibu, halafu unasubili kuteuliwa shame on youNimesema na kuandika kuwa huu si wakati wa kutupiana lawama wala kunyoosheana vidole vya lawama.
Wawe vichaa mara ngapi???Bila shaka una matatizo makubwa sana kichwani mwako.na ndio Maana unaona ulivyo wewe unataka na watanzania wengine nao wawe vichaa.
Unatia aibu na kinyaa btw wewe ni msemaji wa CCM, You are skunk of the nation! Sikutegema swala hili ungeliweka kichama wakati lianhusu kifo na maisha ya watu! Umefanyika Laana sanaMimi siyo chawa