Kuporomoka kwa ghorofa na kusababisha Vifo na majeruhi kwawaumiza na kuwabubujisha Machozi ya huzuni wana CCM Mitaani

We POPOMALISM
 
C Cjui umri wako lkn daa!anyway jitahid saana kujifafanua kama mtanzania,hata ccm ikifa kesho tz itaendelea kuwepo lkn tz ikifa ccm haiwez kuwepo.Hata mwenyekit wa chama ameliogelea hili swala kama mtz na sio mwana ccm.
 
Wewe nguchiro unapenda sifa za kijinga sana. Hivi unajua kufiwa wewe? Unaleta huu upuuzi wako, watu wanalia msiba muda huu. Watu wako kwenye kifusi, wengine wakivuta pumzi zao za mwisho, bila msaada wowote. Acha kutafuta kiki kwa vitu vimegusa Taifa zima. Endelea na hao majuha wenzako, sijui ni lijitu la aina gani wewe.
 
Kuingiza siasa katikati ya msiba ni unyama na ushetani, Lucas Mwashambwa huna utu kabisa wewe ni hayawani na nyang'au tu.
 
Huna zaidi ya humo.......wakati shangazi kiguu na njilaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…