Kuporomoka kwa ghorofa na kusababisha Vifo na majeruhi kwawaumiza na kuwabubujisha Machozi ya huzuni wana CCM Mitaani

Chawa Pro max katika Ubora wako
 
Huyo bwana nadhani ni mental case. Nadhani ni pschophrenic case. Kuna mambo ya kitaifa na mambo ya uchawa. Kama Mungu angekuwa anajua majitu kama haya " akina Lucas", yangekuwa miongoni mwa wale wanaopitia maumivu magumu ya kufukiwa na kifusi labda yangeweza kubadilika
 
TUNGEWEZA KUTUMIA HATA NJIA YA ASILI YA UOKOAJI.

TUNGEPANGA MISTARI KUMI,
WENGINE WANAJAZA UDONGO KWENYE NDOO.
WENGINE KWENYE FOLENI TUNAJAZA MALOLI 200 MENDE.

NDANI YA MASAA KUMI KUSINGEKUWA NA KIFUSI. WATU WOTE WALIOFUKIWA WANGEOKOLEWA.

SELIKALI INASHINDWA KUNUNUA MITAMBO YA UOKOZI.

NI LAANA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KUENDELEA KUISHI TANZANIA
 
Mleta uzi unatakiwa mirembe haraka saana haupo sawa aisee uanze matumizi ya dawa za kifafa.
 
Da ila we jamaa utakuwa unaishi kwa kutegemea Ccm .

Watu wanakushutumu bure mzee .Najua unapambania tumbo.
 
Acha ushoga waliokufa ni wana Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…