Kuporomoka kwa shilingi, wafanyabiashara walia Kariakoo

Mrmkata

Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
83
Reaction score
19
Kupanda kwa US dola nakuporomoka kwa Tsh.kumesababisha bizaa zinazotoka njee kupanda bei nahivyo kusababisha mauzo kua chini kwan wateja wanashindwa kufanya manunuz kwawing kama ilivyokua hapo awal nakwawale wenye mitaj midogo wanaoagiza mizigo njee wamejikuta wamekwama hawawez kuagiza tena mizigo kwan mitaji yao huwa kiduchu
pindi wanapochench shiling kua dola kama awal alikua anaingiza kontena 3 kwahali ilivyo sasa atamudu kuingiza mbil
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.

Bidhaa zipi? Kwa viwanda vipi? Maji ya uhai? Sabuni za ukwaju? Tuache usanii. Tumeua viwanda halafu tunatamba tununue bidhaa za ndani?
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.

Sisi tunazalisha nini kwamba tunaweza kujitegemea kila kitu? Labda ungesema kuongeza kodi kwa bidhaa inayopatikana hapa TZ. Kuongezeka kwa USD kunaumiza tunapotaka kununu bidhaa ambazo hazizalishwi Tanzania.
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.
Are you serious kwa unayoyasema?

Hivi serikali hii iliyopiga bei viwanda vyetu vyote vikubwa vya nguo kama vile Urafiki, Mwatex,Mutex, Sunguratex, Morogoro Polyster na vingine vingi tu hadi hivi sasa pamoja na nchi yetu kuwa ni miongoni ya nchi ambazo tunalima pamba kwa wingi, lakini tumefikia hatua ya kuimport hadi handkerchiefs, socks na underpants toka China, halafu wakati huo huo hatuexport chochote cha maana nje, halafu wakati huo huo tunajifanya 'hamnazo' eti hatujui sababu ya kushuka kwa shilingi yetu?!

Kweli nimeamini aliyeturoga waTz alishakufa kitambo, kwa hiyo hakuna uwezekano wowote wa kumpata 'mganga' yeyote atakayeweza 'kutuopoa' na mauganga tuliyorogerezwa nayo!
 
Halafu hao wafanyibiashara si ndiyo wanajifanyaga ndiyo wafafadhili wakubwa wa magamba?

Wacha washikishwe 'adabu' kwa kuporomoka kwa shilingi yetu ili akili zao zifunguke ili ifikapo Oktoba mwaka huu wabadilishe kibao na wawe wafadhili wakuu wa Ukawa, ili washirikiane na umma wa watanzania katika kukamilisha azma ya kuing'oa madarakani serikali hii iliyochoka.
 
Halafu na yule nanihii Mkazi wa ule mtaa maarufu bila hata aibu eti anatamka hadharani, "Najivunia rekodi yangu"
Hiyo rekodi anayo jivunia ni ya kupisha deni la taifa na kuporomosha hela ya madafu. Kwa haya lazima ajivune saana.
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.

Labda kununua juice,mandazi na soda
 
huu ndo muda muafaka wa kununua na kuuza bidhaa ndani. hii importation kila siku inachangia sana kutugarimu kama taifa.
yabaki yale ya lazima tu kama mafuta. ila tabia ya kuagiza mpaka fenicha za ndani malaysia au kule bondeni ikome kabisa.

Mfano mmoja hiyo sim unayotumia ni made in kivule sio?
 
Bidhaa zipi? Kwa viwanda vipi? Maji ya uhai? Sabuni za ukwaju? Tuache usanii. Tumeua viwanda halafu tunatamba tununue bidhaa za ndani?
hivi hujui hata mafenicha ya majumbani na maofisini tunaagiza kutoka ughaibuni? mpaka toothpick? nguo nakadhalika, au wewe unaishi nchi gani?
tunahitaji vitu vichache tu kuagiza nje ambavyo hatuwezi kuwa navyo hapa kama nishati. the rest we can consume from our own.
 
Sisi tunazalisha nini kwamba tunaweza kujitegemea kila kitu? Labda ungesema kuongeza kodi kwa bidhaa inayopatikana hapa TZ. Kuongezeka kwa USD kunaumiza tunapotaka kununu bidhaa ambazo hazizalishwi Tanzania.
hivi hujui hata mafenicha ya majumbani na maofisini tunaagiza kutoka ughaibuni? mpaka toothpick? nguo nakadhalika, au wewe unaishi nchi gani?
tunahitaji vitu vichache tu kuagiza nje ambavyo hatuwezi kuwa navyo hapa kama nishati. the rest we can consume from our own.
 
Shilingi imesababisha mfumuko wa bei. Mshahara/kipato bado ni kilekile. Maisha yanazidi kudidimia na mbaya zaidi hakuna import substitute industries hata kwa basic goods kama malazi, vyakula na madawa.
 
hivi hujui hata mafenicha ya majumbani na maofisini tunaagiza kutoka ughaibuni? mpaka toothpick? nguo nakadhalika, au wewe unaishi nchi gani?
tunahitaji vitu vichache tu kuagiza nje ambavyo hatuwezi kuwa navyo hapa kama nishati. the rest we can consume from our own.

 
Mfano mmoja hiyo sim unayotumia ni made in kivule sio?
mbona una kichwa kigumu sana wewe. nimetolea mfano kama fenicha za ndani ambazo kiuhalisia ukienda pale manzese utapata nzuri tu. au unaweza kuweka hata oda. sasa huelewi nini hapo?
 
Unang'ang'ania fenicha tu tuambie na bidhaa nyingine zinazopatikana humu humu ili tusiendelee kuagiza hizo za nje. Mfano wazi nenda kwenye duka la mangi mtaani kwenu kama si unga mchele maharage ndo vya hapa nyumbani vilivyobaki ni kutoka nje mpaka wembe hata pamba za masikioni. Labda mwenzetu una vwanda vyako mfukoni au nyumbani kwako tujulishe tuje tukanunue!!
 

Ninachosema kupungua kwa thamani ya shilingi kunaweza kuwa na manufaa endapo tungekuwa ni wazalishaji wa bidhaa zetu wenyewe. Ila viwanda hatuna, kwahiyo hayo ni maumivu kwa uagizaji wa bidhaa toka nje wakati hatujipanga na uzalishaji wa hapa ndani.
 
mbona una kichwa kigumu sana wewe. nimetolea mfano kama fenicha za ndani ambazo kiuhalisia ukienda pale manzese utapata nzuri tu. au unaweza kuweka hata oda. sasa huelewi nini hapo?

Hoja inaongelea wafanyabiashara kkoo,sasa kkoo kuna fenicha? Au uliambiwa fenicha ndo zinazohitaji pesa nyingi kuliko vingine? ...Mfano hapo ulipo muda huu nitajie chochote kwenye mahitaji yako ya kila siku kinachotengenezwa tz,nguo? Viatu? Sim? Gari? Frij,jiko,tv,redio,sindano,baiskel,boda,laptop,dawa ya meno,mafuta Yakula/kupaka,wembe, dawa hadi mashine yakunyolea kule sehem tunaagiza inamaana huoni😠😠😠
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…