Kupost kwenye Social Media

Kupost kwenye Social Media

commm

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
1,709
Reaction score
1,963
Wakuu habari za jumapili

Niende moja kwa moja kwenye mada husika

Kuna hawa watu ambao wanaweza wakawa labda ni ndugu au rafiki,yaani unakuta mtu yupo addicted kupost maisha yake yote kwenye hii mitandao ya kijamii

Yaani mpaka unajikuta maisha yake unayajua kwa asilimia kadhaa kwa sababu ya kupost kwenye hizi social Media

Mpaka mtu akiwa na ugomvi na mtu unakuta anapost maneno ambayo ukikakaa ukiyafikiria unaona kabisa amemlenga mtu fulani

Sasa nyie ambao huwa mna hii tabia ,Je huwa mnapata faida gani kupost maisha yenu kwenye mitandao ya kijamii?
 
Unawezaje kufuatilia post za watu hadi ku rencostruct maisha yao?Kama nilivyokuambia as far wao wapo OK acha kupoteza energy ya ubongo wako kujiuliza. Maana wao sio wewe.
[Nilidhani labda kuna faida wanaipata
 
Unawezaje kufuatilia post za watu hadi ku rencostruct maisha yao?Kama nilivyokuambia as far wao wapo OK acha kupoteza energy ya ubongo wako kujiuliza. Maana wao sio wewe.
Nilidhani labda kuna faida wanaipata
 
Huwezi jua. Cha muhimu tupe sababu kwa nini haupost ?Binafsi sipost kwa sababu nahofia vijuso. Watu waweza chukua picha zako wakapeleka kwa fundi. Pia napenda tu privacy. At the same time siwezi jaji wanaopost as far as wapo OK kufanya hivyo.
 
Wakuu habari za jumapili

Niende moja kwa moja kwenye mada husika

Kuna hawa watu ambao wanaweza wakawa labda ni ndugu au rafiki,yaani unakuta mtu yupo addicted kupost maisha yake yote kwenye hii mitandao ya kijamii

Yaani mpaka unajikuta maisha yake unayajua kwa asilimia kadhaa kwa sababu ya kupost kwenye hizi social Media

Mpaka mtu akiwa na ugomvi na mtu unakuta anapost maneno ambayo ukikakaa ukiyafikiria unaona kabisa amemlenga mtu fulani

Sasa nyie ambao huwa mna hii tabia ,Je huwa mnapata faida gani kupost maisha yenu kwenye mitandao ya kijamii?
Kupost nipost mimi
Kuumia uumie wew.
 
Huwezi jua. Cha muhimu tupe sababu kwa nini haupost ?Binafsi sipost kwa sababu nahofia vijuso. Watu waweza chukua picha zako wakapeleka kwa fundi. Pia napenda tu privacy. At the same time siwezi jaji wanaopost as far as wapo OK kufanya hivyo.
Mimi kupost maisha personal ni kitu ambacho siwezi kabisa,nadhani niko hivo
 
Back
Top Bottom