kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
sawa, tuombe mungu apatikane salama....Taarifa zilishafika POLISI muda mrefu pia mwajiri wake alipewa taarifa na nduguze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa, tuombe mungu apatikane salama....Taarifa zilishafika POLISI muda mrefu pia mwajiri wake alipewa taarifa na nduguze.
Hatukufika tumefikishwaTumefikia hapa kweli mkuu?
Yatupasa kubadili mitizamo yetu kwa kuweka uchama pembeni
Karudi kwao burundiNaomba kuomba msaada wenu wanajamvi wa JF kuna kijana ametoweka wiki 2 sasa anaitwa JABIRI TIMBULA. Alikuwa ameajiriwa kama VEO kijiji cha Mwongozo Tarafa ya Ulyankulu Wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora. Pamoja na kuajiriwa alikuwa mwanafunzi wa shahada ya kwanza wa chuo kikuu huria (OUT) tawi la Tabora akisoma Bachelor of Arts in Sociology, kabla ya hapo alimaliza kidato cha IV shule ya sekondari Sikonge mwaka 2015 kisha akasomea cheti na astashahada ya Sociology ya chuo cha TEKU cha Tabora. Baada ya kuwa hapatikani katika simu zake hizi 0786 445757, 0767 445757 na 0626 055099 nduguze waliamua kwenda kijiji cha mwongozo kuulizia. Huko waliambiwa kuwa alikuwa ameaga kuwa anaenda Tabora mjini kuendelea na masomo yake hivyo aliondoka kijijini. Wadau tunaomba mtusaidie angalau tujue yupo wapi.View attachment 1054096
We waache tu toka zamani wana mambo ya hovyohovyo kuua albino wao,vikongwe wao, hata mambo ya kuuana kwa chuki ni simpo sana kwao sijui wana laana gani au ni ya mwanamalundiMbona unajitetea sana mkuu? Unaweza ukakuta huyo unaemtoa hayumo,anaesoma huu uzi huyo ndio balaaa. We wape tu makavu watajijua wenyewe na tabia zao
Sent using Jamii Forums mobile app
We kichaa na haikosi ni mnyamwezi au msukuma nyie washirikina sana na mna roho za kiuaji sana pita na shetani wako
Kichaa mama yakoWe kichaa na haikosi ni mnyamwezi au msukuma nyie washirikina sana na mna roho za kiuaji sana pita na shetani wako
Wewe hapo ndo kichaa usibishe
Vipi amepatikana?Taarifa zilishafika POLISI muda mrefu pia mwajiri wake alipewa taarifa na nduguze.
Bado hajapatikana mpaka leo nakujibu nduguze hawana taarifa yoyote. Tunazidi kupoteza matumaini na kukata tamaa kuwa atapatikana hai.Vipi amepatikana?
Mungu asaidie apatikane.Niliwahi shiriki kufanya nae kazi ya ujenzi kituo cha kiislamu IPC Kilimatinde Tabora mwaka 2017Bado hajapatikana mpaka leo nakujibu nduguze hawana taarifa yoyote. Tunazidi kupoteza matumaini na kukata tamaa kuwa atapatikana hai.
Sawa kama mlishirikiana kujenga hicho kituo cha Islamic Propagation Centre ni sawa kwani kijana alikuwa mcha Mungu na mshika maadili nadhani hiyo kupenda haki imemcost pia jamani binadamu hawa.!Mungu asaidie apatikane.Niliwahi shiriki kufanya nae kazi ya ujenzi kituo cha kiislamu IPC Kilimatinde Tabora mwaka 2017