Kupotea kwa mfanyabiashara Ulomi na viashiria vya uhalifu ktk jamii yetu jicho la tatu linahusu..

Kupotea kwa mfanyabiashara Ulomi na viashiria vya uhalifu ktk jamii yetu jicho la tatu linahusu..

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Vijana nawaomba mje hapa msome na mfungue macho yenu ya Tatu tupunguze haya madhila.

Ktk dunia ilio staarabika kuna mambo tunayaona na kuna mambo hatuyaoni. Ila nivyema tuambiane ukweli tupone sote.

Epuka kulisaliti taifa lako na kulihujumu ni hatari kwako binafsi na uzao wako. Kuwa Raia mwema lipende Taifa lako kuwa askari wa Taifa lako.

Sikia hiki kisa nafungua macho inasemekana Ulomi alipotea tarehe 11/12/2024. Akiwa amepokea simu kuna mzigo wake unavitu vya kupasuka hivyo maofisa wa Tra wanataka wakaufungue pamoja. Mwisho wakunukuu...... Mpo vijana.

Alipo pokea sim akamwambia mke wake aka mshikaji wake japo wakawa na mashaka.... Mpo vijana mpo wake za watu....

Wakaambia nenda akachukua boda kwenda bandarini ambapo mpaka jion hakuwa amefika..... trapped unknown.... mpo vijana...

Mke anasema wanabiashara biasha na mzigo ulikuwa kwa ajili ya vifaa vya ujenzi wa nyumaba..... Vijana mpoooooo

Okay mke anasema biashara yao ni ya mpesa ila wanabiashara nyingine.... like what... vijana mpooooooooo

Bwana hana rafiki ana cycle ndogo ya marafiki na kila mtu ana ubiz wake, hayupo kwenye social media na password za sim yake mpaka mke anazijuwa.... vijana vijana vijana mpoooo

Nawaomba vijana wa Tz tuishi maisha ya kumpenda Mungu na Taifa letu.
Yote tumwachie Mungu ila nachelea kusema ipo siku Tz itakuwa kama hii documentary. 🇹🇿 ❤️ 😍


View: https://m.youtube.com/watch?v=pOjYnSAAcnQ&t=283s&pp=ygUYR2FuZ3Mga2lsbGluZyBpbiBOYWlyb2Jp
 
Vijana nawaomba mje hapa msome na mfungue macho yenu ya Tatu tupunguze haya madhila.

Ktk dunia ilio staarabika kuna mambo tunayaona na kuna mambo hatuyaoni. Ila nivyema tuambiane ukweli tupone sote.

Epuka kulisaliti taifa lako na kulihujumu ni hatari kwako binafsi na uzao wako. Kuwa Raia mwema lipende Taifa lako kuwa askari wa Taifa lako.

Sikia hiki kisa nafungua macho inasemekana Ulomi alipotea tarehe 11/12/2024. Akiwa amepokea simu kuna mzigo wake unavitu vya kupasuka hivyo maofisa wa Tra wanataka wakaufungue pamoja. Mwisho wakunukuu...... Mpo vijana.

Alipo pokea sim akamwambia mke wake aka mshikaji wake japo wakawa na mashaka.... Mpo vijana mpo wake za watu....

Wakaambia nenda akachukua boda kwenda bandarini ambapo mpaka jion hakuwa amefika..... trapped unknown.... mpo vijana...

Mke anasema wanabiashara biasha na mzigo ulikuwa kwa ajili ya vifaa vya ujenzi wa nyumaba..... Vijana mpoooooo

Okay mke anasema biashara yao ni ya mpesa ila wanabiashara nyingine.... like what... vijana mpooooooooo

Bwana hana rafiki ana cycle ndogo ya marafiki na kila mtu ana ubiz wake, hayupo kwenye social media na password za sim yake mpaka mke anazijuwa.... vijana vijana vijana mpoooo

Nawaomba vijana wa Tz tuishi maisha ya kumpenda Mungu na Taifa letu.
Yote tumwachie Mungu ila nachelea kusema ipo siku Tz itakuwa kama hii documentary. 🇹🇿 ❤️ 😍


View: https://m.youtube.com/watch?v=pOjYnSAAcnQ&t=283s&pp=ygUYR2FuZ3Mga2lsbGluZyBpbiBOYWlyb2Jp

Hamna kitu hapa.
Kqma sio Mwanachadema basi
 
Vijana nawaomba mje hapa msome na mfungue macho yenu ya Tatu tupunguze haya madhila.

Ktk dunia ilio staarabika kuna mambo tunayaona na kuna mambo hatuyaoni. Ila nivyema tuambiane ukweli tupone sote.

Epuka kulisaliti taifa lako na kulihujumu ni hatari kwako binafsi na uzao wako. Kuwa Raia mwema lipende Taifa lako kuwa askari wa Taifa lako.

Sikia hiki kisa nafungua macho inasemekana Ulomi alipotea tarehe 11/12/2024. Akiwa amepokea simu kuna mzigo wake unavitu vya kupasuka hivyo maofisa wa Tra wanataka wakaufungue pamoja. Mwisho wakunukuu...... Mpo vijana.

Alipo pokea sim akamwambia mke wake aka mshikaji wake japo wakawa na mashaka.... Mpo vijana mpo wake za watu....

Wakaambia nenda akachukua boda kwenda bandarini ambapo mpaka jion hakuwa amefika..... trapped unknown.... mpo vijana...

Mke anasema wanabiashara biasha na mzigo ulikuwa kwa ajili ya vifaa vya ujenzi wa nyumaba..... Vijana mpoooooo

Okay mke anasema biashara yao ni ya mpesa ila wanabiashara nyingine.... like what... vijana mpooooooooo

Bwana hana rafiki ana cycle ndogo ya marafiki na kila mtu ana ubiz wake, hayupo kwenye social media na password za sim yake mpaka mke anazijuwa.... vijana vijana vijana mpoooo

Nawaomba vijana wa Tz tuishi maisha ya kumpenda Mungu na Taifa letu.
Yote tumwachie Mungu ila nachelea kusema ipo siku Tz itakuwa kama hii documentary. 🇹🇿 ❤️ 😍


View: https://m.youtube.com/watch?v=pOjYnSAAcnQ&t=283s&pp=ygUYR2FuZ3Mga2lsbGluZyBpbiBOYWlyb2Jp

Leo umepuyanga ndugu mwonaji.
 
Ulomi kauliwa na walewale, siku zote wanaopeleka miili ya wafu mortuary inajulikana, hata magari yao yanatembea na machela.

Wanaokagua mizigo ni TRA Tanzania na clearing agent, mteja unawakilishwa kwenye shughuli za kiforodha na wakala wako wa forodha (clearing agent)
 
Tatizo ninaloliona usalama wa Taifa upo uchi ndio maana kwa Sasa mtu hata akipishana na mtu mwingine anatumia mwanya uo ku eliminate uhai wa mwenzie.!!

Madai, Madeni, mapenzi watu wanatake advantage na kuua wenzao maana polisi wamelala pono !!!
 
Story nyingi tu mnataka kutusahaulisha.

Haya waliomteka Sativa mmewapata mwezi wa 6 unaenda sasa.

Waliomuua mzee Kibao mmewapata mwezi wa 3 sasa.

Waliomteka Soka na wenzake mmewapata , mwezi wa 4 sasa.

Ila mtekaji aliyeigiza ni ofisa wa TRA aliyeuliwa mmewapata wahusika ndani ya muda mfupi.

Msione watu wote ni wajinga.
 
Story nyingi tu mnataka kutusahaulisha.

Haya waliomteka Sativa mmewapata mwezi wa 6 unaenda sasa.

Waliomuua mzee Kibao mmewapata mwezi wa 3 sasa.

Waliomteka Soka na wenzake mmewapata , mwezi wa 4 sasa.

Ila mtekaji aliyeigiza ni ofisa wa TRA aliyeuliwa mmewapata wahusika ndani ya muda mfupi.

Msione watu wote ni wajinga.
Umesema ukweli.
 
Vijana nawaomba mje hapa msome na mfungue macho yenu ya Tatu tupunguze haya madhila.

Ktk dunia ilio staarabika kuna mambo tunayaona na kuna mambo hatuyaoni. Ila nivyema tuambiane ukweli tupone sote.

Epuka kulisaliti taifa lako na kulihujumu ni hatari kwako binafsi na uzao wako. Kuwa Raia mwema lipende Taifa lako kuwa askari wa Taifa lako.

Sikia hiki kisa nafungua macho inasemekana Ulomi alipotea tarehe 11/12/2024. Akiwa amepokea simu kuna mzigo wake unavitu vya kupasuka hivyo maofisa wa Tra wanataka wakaufungue pamoja. Mwisho wakunukuu...... Mpo vijana.

Alipo pokea sim akamwambia mke wake aka mshikaji wake japo wakawa na mashaka.... Mpo vijana mpo wake za watu....

Wakaambia nenda akachukua boda kwenda bandarini ambapo mpaka jion hakuwa amefika..... trapped unknown.... mpo vijana...

Mke anasema wanabiashara biasha na mzigo ulikuwa kwa ajili ya vifaa vya ujenzi wa nyumaba..... Vijana mpoooooo

Okay mke anasema biashara yao ni ya mpesa ila wanabiashara nyingine.... like what... vijana mpooooooooo

Bwana hana rafiki ana cycle ndogo ya marafiki na kila mtu ana ubiz wake, hayupo kwenye social media na password za sim yake mpaka mke anazijuwa.... vijana vijana vijana mpoooo

Nawaomba vijana wa Tz tuishi maisha ya kumpenda Mungu na Taifa letu.
Yote tumwachie Mungu ila nachelea kusema ipo siku Tz itakuwa kama hii documentary. 🇹🇿 ❤️ 😍


View: https://m.youtube.com/watch?v=pOjYnSAAcnQ&t=283s&pp=ygUYR2FuZ3Mga2lsbGluZyBpbiBOYWlyb2Jp

Ntarudi maana nondo zako ni unabii kamili
 
Back
Top Bottom