Kupotea kwa mfanyabiashara Ulomi na viashiria vya uhalifu ktk jamii yetu jicho la tatu linahusu..

MKUU UNAANDIKA UPUMBAVU!

MTU AMEKUFA,HATUNA HAKIKA SABABU ZA KIFO CHAKE,HALAFU WEWE UNATOKA KUJA KUANDIKA HIZI TAKATAKA?

HUU NI UPUMBAVU!

NA ULE UTABIRI JUU YA PUTIN,ULISEMA HAFIKI MWAKA GANI?

UJINGA UJINGA TU.
 
Tatizo ninaloliona usalama wa Taifa upo uchi ndio maana kwa Sasa mtu hata akipishana na mtu mwingine anatumia mwanya uo ku eliminate uhai wa mwenzie.!!

Madai, Madeni, mapenzi watu wanatake advantage na kuua wenzao maana polisi wamelala pono !!!

..sio kwamba wamelala pono ila na wao wanahusika.

..kazi yao ingekuwa rahisi kama wangekuwa hawana genge lao lililopewa ruhusa kupoteza watu.

..mfano mdogo: sasa hivi sio rahisi kutofautisha kati ya polisi, na jambazi, kwasababu polisi wamekuwa na mazoea ya kutokuvaa uniform ktk shughuli zao.
 
Sultan wa kike ametengeneza idiots wengi nchi hii
 
Kweli kwa 300%
 
Kitambo sijaona uchambuzi wako.
 
Sijaelewa hata point yako ni ipi
Maana yake!

Vifo,kupotea vinavyoendelea ni kazi inayofanywa na jamhuri dhidi ya wasaliti wa taifa letu lakini sisi kama raia hatuna info za kutosha kuhusu kinachoendelea kuhusu wahusika!!

Ndio maana vijana wanaonywa wasitumike na magenge yanayowalipa mapesa mengi Kwa kulisaliti taifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…