mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF,
Kama ulikuwa hujui, kundi pekee la kibongo lilioanzoshwa chini ya Juma Nature na Chege Chigunda ndilo kundi pekee lililokuwa linashambulia jukwaa, kiasi kwamba kwenye kiti linahakikisha Hawaii mtu.
Hata hivyo nashindwa kuelewa walifeli wapi? Mfano tuliambiwa Juma Nature alipata pesa nyingi kwenye hii industry, pia alikuwa na uwezo wa kutunza mashairi lukuki na zinakubalika. Aliibua vipaji vingi hadi wazee wako.
Kundi hili kilikuwa linajituma sana na halina dharau kwa watanzania kiasi kwamba lilipendwa sana. Ccm kwenye kampuni hasa Mkapa na JK aliwatumia sana. Hivi ni kweli waliishiwa tungo, mbinu za kucheza, au walijaa umimi na kushindwa kuendelea
Makundi yaliyoibuka baada ya wao kufeli, wanaishi kwa kujichetua sana, malinga mengi, majivuno ndio usiseme, kwa sasa wameanza kuwekeza na mwalifu na dhuruma nyingi kisa ukwasi kuwa mkubwa, wanaharibu jamii kwa majimbo yao ya ujenzi ushenzi
Kama ulikuwa hujui, kundi pekee la kibongo lilioanzoshwa chini ya Juma Nature na Chege Chigunda ndilo kundi pekee lililokuwa linashambulia jukwaa, kiasi kwamba kwenye kiti linahakikisha Hawaii mtu.
Hata hivyo nashindwa kuelewa walifeli wapi? Mfano tuliambiwa Juma Nature alipata pesa nyingi kwenye hii industry, pia alikuwa na uwezo wa kutunza mashairi lukuki na zinakubalika. Aliibua vipaji vingi hadi wazee wako.
Kundi hili kilikuwa linajituma sana na halina dharau kwa watanzania kiasi kwamba lilipendwa sana. Ccm kwenye kampuni hasa Mkapa na JK aliwatumia sana. Hivi ni kweli waliishiwa tungo, mbinu za kucheza, au walijaa umimi na kushindwa kuendelea
Makundi yaliyoibuka baada ya wao kufeli, wanaishi kwa kujichetua sana, malinga mengi, majivuno ndio usiseme, kwa sasa wameanza kuwekeza na mwalifu na dhuruma nyingi kisa ukwasi kuwa mkubwa, wanaharibu jamii kwa majimbo yao ya ujenzi ushenzi