Kupotea (misplacement) kwa barua Masijala, Tanga

Kupotea (misplacement) kwa barua Masijala, Tanga

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Mkurugenzi Jiji la Tanga nakuomba ulifanyie kazi hili la kupotea kwa barua kwenye ofisi yako ya Masijala. Nadhani hakuna letter movement /trail order nzuri ya kuifuatilia barua iko wapi tangu inapopokelewa ofisi ya masijala. Kumekuwa na watu wengi masjala kuulizia barua zao "zimefia" wapi baada ya kusubiri muda mrefu hata miezi miwili bila kupata majibu.

Lifanyie kazi tafadhali ili kuondoa usumbufu mtu anaoupata kuja kufuatilia barua.
Sina nia ya kuwachongea bali kuboresha.
 
Mkurugenzi Jiji la Tanga nakuomba ulifanyie kazi hili la kupotea kwa barua kwenye ofisi yako ya Masijala. Nadhani hakuna letter movement /trail order nzuri ya kuifuatilia barua iko wapi tangu inapopokelewa ofisi ya masijala. Kumekuwa na watu wengi masjala kuulizia barua zao "zimefia" wapi baada ya kusubiri muda mrefu hata miezi miwili bila kupata majibu.

Lifanyie kazi tafadhali ili kuondoa usumbufu mtu anaoupata kuja kufuatilia barua.
Sina nia ya kuwachongea bali kuboresha.
Tanga wanapenda kulamba Asali,wwe wape Asali tu na barua yako itaonekana faster,utakuja nishukuru siku moja isiyokua na jina!!
 
Back
Top Bottom