Kipindi hicho nakaa Tegeta kwa Ndevu niliwahi kupotea, yaani baada ya kushuka kwenye daladala nikawa siioni njia ya kuelekea nyumbani nilikokuwa nakaa.
Nilizunguka sehemu moja kwa muda mrefu huku nikiona kama baadhi ya watu wananisema. Mpaka leo sielewi kilinipata nini maana hiyo sehemu sikuwa mgeni nilikuwa nimeishi karibu miaka 5.
Baada ufahamu ulivyorudi nilikuwa nazunguka maeneo hayo hayo ya njia ya kuelekea nyumbani.
Nilizunguka sehemu moja kwa muda mrefu huku nikiona kama baadhi ya watu wananisema. Mpaka leo sielewi kilinipata nini maana hiyo sehemu sikuwa mgeni nilikuwa nimeishi karibu miaka 5.
Baada ufahamu ulivyorudi nilikuwa nazunguka maeneo hayo hayo ya njia ya kuelekea nyumbani.