Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
NakaziaInasababisha na upungufu wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaInasababisha na upungufu wa akili
M layleyaaani mbwane weeee...Hali hiyo najua inakupata hasa ukiwa porini,inaitwa kupigwa ndui kwa sisi wanyiramba,nilikuwa nachunga ng’ombe gafla nikawa sijui tena uelekeo wa nyumbani katikati ya pori halafu nipo peke yangu sijui narudi Vipi nyumbani ,mbinu niliyowahi kupewa na babu yangu ni kwamba hali kama hiyo ikikukuta ukiwa unachunga ng’ombe ni kwamba Hakikisha unawachunga vizuri wale washimbe ikifika tu jioni ng’ombe wenye watoto ndio huongoza kwenye nyumbani ili wakanyonyeshe,na kwenye nilifanya hivyo jioni ng’ombe waliniongoza hadi nyumbani,yaani nakuja kustuka ndio naingia home kabisa kama vile nimetoka usingizi kumbe live,nilishangaa sana wakati nilikuwa naenda kuchunga sehemu hizo hizo miaka 3 bila kupotea
Kosa kubwa kutembea na card ya uanachama wa ccm. Kupotea ni kugusaKipindi hicho nakaa Tegeta kwa Ndevu niliwahi kupotea, yaani baada ya kushuka kwenye daladala nikawa siioni njia ya kuelekea nyumbani nilikokuwa nakaa.
Nilizunguka sehemu moja kwa muda mrefu huku nikiona kama baadhi ya watu wananisema. Mpaka leo sielewi kilinipata nini maana hiyo sehemu sikuwa mgeni nilikuwa nimeishi karibu miaka 5.
Baada ufahamu ulivyorudi nilikuwa nazunguka maeneo hayo hayo ya njia ya kuelekea nyumbani.
daah! We jamaa,ulipata kweli hata hamu ya ku*****, maana so kwa mawazo yale baada ya kufika getoNshawahi kutana na msala kama huu Kigogo daSaLama miaka mitatu imepita,nimetoka kwenda dukani manzi kaomba nimchukulie wine,ila kurudi nikasahau njia ya ghto,nilizunguka mtaa ule ule dakika kama 20.
Nenda Zanzibar halafu pita vinjia vya ndani vya mji mkongwe!!!!!!!!! Nilizunguka ili nielekee bandarini, nikaribu sana lakini we!!!!!!!!!!!!!! Nenda kajaribu!!!!!!!!!!1Kipindi hicho nakaa Tegeta kwa Ndevu niliwahi kupotea, yaani baada ya kushuka kwenye daladala nikawa siioni njia ya kuelekea nyumbani nilikokuwa nakaa.
Nilizunguka sehemu moja kwa muda mrefu huku nikiona kama baadhi ya watu wananisema. Mpaka leo sielewi kilinipata nini maana hiyo sehemu sikuwa mgeni nilikuwa nimeishi karibu miaka 5.
Baada ufahamu ulivyorudi nilikuwa nazunguka maeneo hayo hayo ya njia ya kuelekea nyumbani.