Kupotea sehemu unayoijua inasababishwa na nini?

M layleyaaani mbwane weeee...
 
Itakuwa kuna mdudu ulimkanyaga bila kujua na dawa yake ni mpaka mtu akuzabe kofi ndio akili inarudi
Nilisikiaga watu wanasema wakati nakua ila sijui inakweli wowote na huyo mdudu sijui ni mdudu gani
 
Kosa kubwa kutembea na card ya uanachama wa ccm. Kupotea ni kugusa
 
Hata Mimi nilipotea kiajabu! Dunia Ina mengi, nasikia kuna mdudu ukimkanyaga tu unapotea. Ila issue yangu ilikuwa ya kishirikina.
 
Nshawahi kutana na msala kama huu Kigogo daSaLama miaka mitatu imepita,nimetoka kwenda dukani manzi kaomba nimchukulie wine,ila kurudi nikasahau njia ya ghto,nilizunguka mtaa ule ule dakika kama 20 watu wamekaa kibarazani kama wanashangaa na Mimi nawashangaa na siwezi wauliza kwangu ni wapi wasije niona mvuta bangi.Basi bahati manzi nae kanifuata kuona nimechelewa Kanikuta nan'gaa sharubu hatua 10 tu kutoka ghto,nikazuga wine niliifuata mbali.
 
Nshawahi kutana na msala kama huu Kigogo daSaLama miaka mitatu imepita,nimetoka kwenda dukani manzi kaomba nimchukulie wine,ila kurudi nikasahau njia ya ghto,nilizunguka mtaa ule ule dakika kama 20.
daah! We jamaa,ulipata kweli hata hamu ya ku*****, maana so kwa mawazo yale baada ya kufika geto
 
Nenda Zanzibar halafu pita vinjia vya ndani vya mji mkongwe!!!!!!!!! Nilizunguka ili nielekee bandarini, nikaribu sana lakini we!!!!!!!!!!!!!! Nenda kajaribu!!!!!!!!!!1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…