Kwa taarifa ambazo nimezipataHivi karibuni kulikuwa na vinywaji vya MO mtaani ambavyo vilikuwa vinafanya vizuri sana sokoni kutokana na ujazo wake mkubwa wa ml 400 kwa kila chupa na kwa bei ile ile ya sh 500 kama vinywaji vingine vya backressa na soda
Lakini hivi karibuni nimeahtuka havionekani kabisa madukani na ukiwauliza kila mtu ana jibu lake , je vimefungiwa kwa kukosa ubora au tatizo lipo wapi?
gari za mbagala hata seat ya nyuma umewahi tu!![emoji1] hongera!!..Nimewahi seat
Kumbee sasa kumfungia si tunakosa kodi maana vile vinywaji vyake vilikuwa vinauzika sana mtaani na kilikuwa ni chanzo cha tra kupiga hela na ajira watu hapo sizipo shakani?Kwa taarifa ambazo nimezipata
Jamaa kafungiwa alikuwa hatumii sukar ya nchini iliyopendekezwa na mashirika ya ubora nchini, jamaa alikuwa anatumia ile sukali yetu pendwa sukar kidogo tu utamu mwingi, na sukar ya nyumbani alikuwa ananunua then anaiuza nchi nyingine
Ya kweli hayo mkuu au ni figisu figisu tu[emoji1][emoji1]Mo ni mhuni, sijawahi kuona bidhaa ya huyu jamaa yenye ubora unaostahili kutumiwq na binadamu!
Bidhaa Zake nyingi zina ubora wa chini sana!
Hiki kinywaji Ilikuwa janga kubwa kwa wanawake, Ina sukari nyingi na hata km sio mtaalamu wa afya utajua tu kuwa haifai kutumika
Hakuna figisu gisu mkuu, siku zote nilikuwa najiuliza Ikiwa Hivi vinywaji serikali imeruhusu kweli kuuzwa mitaani, havifai hata kumnywesha mbuziYa kweli hayo mkuu au ni figisu figisu tu[emoji1][emoji1]
Kumbee sasa kumfungia si tunakosa kodi maana vile vinywaji vyake vilikuwa vinauzika sana mtaani na kilikuwa ni chanzo cha tra kupiga hela na ajira watu hapo sizipo shakani?
Kama havina ubora ni heri serikali kupitia tfda watoe tamko tu kuwa havifai kwa matumizi ya binadam ili vilivyobakia huku mtaani Tusivitumie