kupotelewa na vyeti vya form 4 na form 6

tzhumoally

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
412
Reaction score
156
wadau kuna ndugu yangu amepoteza vyote vyote viwili vya form four(2002) na form six(2006) na alikua na mpango wa kuomba chuo mwaka huu,vp afanye nini maana amechanganyikiwa?na ukiripoti chuo lazima uende na original vyeti...naombeni mawazo yenu
 
Daaa polesanaa kakaa hilo tatizo duuu mdauu mwambiee askatee tamaa
 
Aende wizarani kwanza zen ataambiwa cha kufanya. Mara nyingi ikitokea kama ivyo huwa anaambiwa sense ktk while alizisoma alafu apewe barua ya uthibitisho kuwa alisoma pale
 
Anaitwa nani huyo...ili nasi tuulizie kwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…