tzhumoally
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 412
- 156
wadau kuna ndugu yangu amepoteza vyote vyote viwili vya form four(2002) na form six(2006) na alikua na mpango wa kuomba chuo mwaka huu,vp afanye nini maana amechanganyikiwa?na ukiripoti chuo lazima uende na original vyeti...naombeni mawazo yenu