Kupoteza mvuto kimziki kwa hawa wasanii, tatizo nini!

Huyo Baraka nafikiri akikumbuka ujinga alioufanya anajutia



Bongo Team Mondi na Kiba ndo wanadetermine career yako kuwa up au kugo down... sasa unyumbu wake umemponza kweli kweli
Alikosea sana kuhama upande wa Kiba basi atleast angeingia wasafi sasa kabaki kama popo team wasafi hawamshabikii na team kiba wamemtenga.
 
Hili jitu jinga sana limepoteza demu limechange dini limepoteza mashabiki... yupo yupo tu
Lipuuzi kweli
Liliwekeza kwenye mapenzi na dini likabadili kisa demu, sasa demu kaliacha na muziki unaliacha tu muda si mrefu.
 
Wewe unaishi wapi lakini hadi usiwasikie Rayvanny na Lavalava au ndo wale washamba ambao mnasikiliza Clouds kutwa nzima?
Wamebaki wana unga unga mistari na kurudia rudia tu.
 
Baraka alijipoteza mwenyewe...nidhamu hana ndo tatizo!!
Maana alikuwa anaenda vizuri..baada ya Nisamehe ilibidi apige hatua mbele zaidi, yeye akaleta jeuri na team kiba wote wakamjengea beaf...

Baraka bado ni msanii mzuri...ana ngoma zake kama Mawazo na Tokota ni kali sana, angekuwa bado rockstar hakika angesumbua sana...

Ona sasa hata show za fiesta hapati...kabaki kuimbiana na Naj chumbani!!

Majuzi kaandika post ndefu ya kuomba watu msamaha lakini hakuna aliyemchukulia serious!
 
Edu Boy alishasema kinachomponza Baraka ni nidhamu na kweli tumeona...


Alimtemea shombo Ali Kiba, Kiba akasema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kweli tumeona!


Juzi naona anaomba msamaha kwenye interview ya lil Ommy anasema Mosha na Kiba ashawatumia Txt lakini awajarespond!!


Kikubwa arudi kwa kiba aombe msamaha tu kabla career yake aijakwenda pabaya manake juzi katoa nyimbo watu hatuna habari kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…