Kupoteza mvuto kimziki kwa hawa wasanii, tatizo nini!

Kupoteza mvuto kimziki kwa hawa wasanii, tatizo nini!

Huyo Baraka nafikiri akikumbuka ujinga alioufanya anajutia



Bongo Team Mondi na Kiba ndo wanadetermine career yako kuwa up au kugo down... sasa unyumbu wake umemponza kweli kweli
Alikosea sana kuhama upande wa Kiba basi atleast angeingia wasafi sasa kabaki kama popo team wasafi hawamshabikii na team kiba wamemtenga.
 
Yako wapi hayo majivuno saizi[emoji23][emoji23] mziki umemshinda na kaachwa na demu!!



Elimu na kujiheshimu na kuheshimu wanachofanya ni kitu muhimu na adimu sana ambacho wasanii wa sasa hivi hawana..


Wakati Diamond anafanya upuuzi mitandaoni Kanye West anazuia porn ya mke wake isije kuwa story watoto wake wakikua... Mziki umekuwa kiki bila kiki au team hutoboi
Baraka alijipoteza mwenyewe...nidhamu hana ndo tatizo!!
Maana alikuwa anaenda vizuri..baada ya Nisamehe ilibidi apige hatua mbele zaidi, yeye akaleta jeuri na team kiba wote wakamjengea beaf...

Baraka bado ni msanii mzuri...ana ngoma zake kama Mawazo na Tokota ni kali sana, angekuwa bado rockstar hakika angesumbua sana...

Ona sasa hata show za fiesta hapati...kabaki kuimbiana na Naj chumbani!!

Majuzi kaandika post ndefu ya kuomba watu msamaha lakini hakuna aliyemchukulia serious!
 
Baraka alijipoteza mwenyewe...nidhamu hana ndo tatizo!!
Maana alikuwa anaenda vizuri..baada ya Nisamehe ilibidi apige hatua mbele zaidi, yeye akaleta jeuri na team kiba wote wakamjengea beaf...

Baraka bado ni msanii mzuri...ana ngoma zake kama Mawazo na Tokota ni kali sana, angekuwa bado rockstar hakika angesumbua sana...

Ona sasa hata show za fiesta hapati...kabaki kuimbiana na Naj chumbani!!

Majuzi kaandika post ndefu ya kuomba watu msamaha lakini hakuna aliyemchukulia serious!
Edu Boy alishasema kinachomponza Baraka ni nidhamu na kweli tumeona...


Alimtemea shombo Ali Kiba, Kiba akasema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu kweli tumeona!


Juzi naona anaomba msamaha kwenye interview ya lil Ommy anasema Mosha na Kiba ashawatumia Txt lakini awajarespond!!


Kikubwa arudi kwa kiba aombe msamaha tu kabla career yake aijakwenda pabaya manake juzi katoa nyimbo watu hatuna habari kabisa
 
Back
Top Bottom