lord atkin
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 205
- 769
Alikosea sana kuhama upande wa Kiba basi atleast angeingia wasafi sasa kabaki kama popo team wasafi hawamshabikii na team kiba wamemtenga.Huyo Baraka nafikiri akikumbuka ujinga alioufanya anajutia
Bongo Team Mondi na Kiba ndo wanadetermine career yako kuwa up au kugo down... sasa unyumbu wake umemponza kweli kweli