Kupoteza vibes na mitoko ya Usiku.

Kupoteza vibes na mitoko ya Usiku.

Ironbutterfly

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2023
Posts
3,042
Reaction score
8,227
Hi wanajukwaa
Nimekuja mji x kikazi,nimefika kwenye saa 12 jion,nikabook hotel,nikaoga na kupumzika kidogo.

Mida ya saa 2 usiku wadau wakanipitia room kwangu,tukatoka kupata chakula,then vile ni wikend wakasema tukae tule bata na kuinjoi mziki.Tumeinjoi hadi mida ya saa 4 usiku,mie nikaona naboeka tu,manake hata ulabu sipigi,nikawaaga nikarud hotel.
Kufika room nikawatch movie moja then ,nikapray na kulala kwenye saa 5,usiku.

Imefika saa 6 usiku usingiz umekata,na sijasleep tena hadi mida hii,nje ya hotel nasikia mziki mnene ,manake iko jiran na viwanja.Nataman kutoka niende Ila Sina vibe kabisa,tofauti na zamani,ilikuwa nikifika mji mkubwa ni kukesha club,nowdays ikifika saa 2,niko ndani,nikizidisha hapo naboreka na kuwa siko comfortable.Yani sifurahii kukaa sehemu za starehe kama zamani.

Sijui ni majukumu ama kitu gani,yaani nowdays sina furaha nikienda sehemu za starehe,hata niwe na hela kiasi gani,huwa naspend kiasi kidogo tu na sikai muda mrefu sehemu hizo,huwa naondoka mapema.Na usingizi huwa napata kwa muda mfupi Sana,haizid masaa mawil ama matatu per night.
Je hii ni kawaida ama nina tatizo?
 
Unaelekea pazuri katika maisha. Vipaumbele vyako vikiwa maisha ya starehe na kujirusha club jua kabisa hujafika level ya maturity. Nikupongeze kwa hilo, umekua sasa.

Mimi kwa huu umri wangu wa early 30s nakumbuka nilienda club mara moja. Ile siku tulipiga pesa ndefu baada ya kumaliza seminar na staffs wenzangu wakashauri twende tukamwagilie moyo club. Kulikua na mziki mkubwa makelele mengi, mabinti wapo nusu uchi, vijana wanakula pombe mpaka wamekua kama vichaa wanaruka ruka na kubambia warembo. Wengine walikua pembeni wanavuta shisha yani mamoshi kama yote. Vyoo vimejaa makasha ya condom tu.

Nilikua naona kama vichaa flani hivi. Kulikua na lounge nikatulia katika sofa huku nakula zangu JD lkn akilini nawaza, "hivi haya ndio maisha ninayotaka kuishi!!!". Sikua na vibe kabisa nikajiondokea zangu maskani bila kuaga marafiki nilioenda nao. Kuna kiasi nilitenga kwa ajili ya kula bata ule usiku na sikumaliza, asubuhi nikamtumia maza chote nikajihisi nina amani kabisa.

Mimi starehe yangu kubwa kwa sasa labda kukaa nyumbani weekend baada ya kazi kunywa wine huku nikiskiliza slow jamz taratibu au mangoma ya hip hop.
 
Hi wanajukwaa
Nimekuja mji x kikazi,nimefika kwenye saa 12 jion,nikabook hotel,nikaoga na kupumzika kidogo.

Mida ya saa 2 usiku wadau wakanipitia room kwangu,tukatoka kupata chakula,then vile ni wikend wakasema tukae tule bata na kuinjoi mziki.Tumeinjoi hadi mida ya saa 4 usiku,mie nikaona naboeka tu,manake hata ulabu sipigi,nikawaaga nikarud hotel.
Kufika room nikawatch movie moja then ,nikapray na kulala kwenye saa 5,usiku.

Imefika saa 6 usiku usingiz umekata,na sijasleep tena hadi mida hii,nje ya hotel nasikia mziki mnene ,manake iko jiran na viwanja.Nataman kutoka niende Ila Sina vibe kabisa,tofauti na zamani,ilikuwa nikifika mji mkubwa ni kukesha club,nowdays ikifika saa 2,niko ndani,nikizidisha hapo naboreka na kuwa siko comfortable.Yani sifurahii kukaa sehemu za starehe kama zamani.

Sijui ni majukumu ama kitu gani,yaani nowdays sina furaha nikienda sehemu za starehe,hata niwe na hela kiasi gani,huwa naspend kiasi kidogo tu na sikai muda mrefu sehemu hizo,huwa naondoka mapema.Na usingizi huwa napata kwa muda mfupi Sana,haizid masaa mawil ama matatu per night.
Je hii ni kawaida ama nina tatizo?
It is called maturity. Maturity= coming of age+determination+good uses of time and money-reducing the unnecessary things and thoughts
 
Back
Top Bottom