Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Ni takribani timu nne mfuluzo zimeituhumu klabu ya tanzania kufanya huu mchezo ukiachana na kutumia mbinu za mabasi mabovu yenye harufu na uchawi kama ule wa kumwagia vimiminika sehemu ya mlango wa basi ikiambatana na kumpitisha njiwa chini ya basi pindi wachezaji wa nje wanapokwenda kufanya mazoezi, achilia mbali kero za makomandoo wa hii klabu kuzuia makocha kama kina zahera kukutana na wachezaji wao wa timu wanakotokea
FAIR PLAY
Huyo Zahera kama anataka akutane na wachezaji wake wa zamani, kwa nini asiende hotelini? Acha ujinga, mapovu tu ya kutoka sare na Ndanda...makomandoo wa hii klabu kuzuia makocha kama kina zahera kukutana na wachezaji wao wa timu wanakotokea
analofikiria mjinga ndilo analo type, kuna athari ipi zahera akikutana na wachezaji wa kongo uwanjani mazoezini??????Huyo Zahera kama anataka akutane na wachezaji wake wa zamani, kwa nini asiende hotelini? Acha ujinga, mapovu tu ya kutoka sare na Ndanda
Kumbe una njaa ...nilidhani unaleta kitu Konki kumbe daaaaNi takribani timu nne mfuluzo zimeituhumu klabu ya tanzania kufanya huu mchezo ukiachana na kutumia mbinu za mabasi mabovu yenye harufu na uchawi kama ule wa kumwagia vimiminika sehemu ya mlango wa basi ikiambatana na kumpitisha njiwa chini ya basi pindi wachezaji wa nje wanapokwenda kufanya mazoezi, achilia mbali kero za makomandoo wa hii klabu kuzuia makocha kama kina zahera kukutana na wachezaji wao wa timu wanakotokea
FAIR PLAY