Kupungukiwa na nguvu za kiume kunasababishwa na nini?

Kupungukiwa na nguvu za kiume kunasababishwa na nini?

youngashley

Senior Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
187
Reaction score
52
Ndugu zangu kadri miaka inavyo zidi kusogea nahisi kupungukiwa na nguvu za kiume. Nifanyenini ili niwezekuwa imara kama mwanzoni?
 
Acha puli na wanawake wazee hasa mabaa meid. Tafuta nyumba ndogo ya kingoni utaona mabadiliko.
 
Fanya mazoezi. Punguza kitambi. Kula pweza kwa wingi.
 
Ndugu zangu kadri miaka inavyo zidi kusogea nahisi
Kupungukiwa na nguvu za kiume. Nifanyenini ili niwezekuwa imara kama mwanzoni?
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:

1.ubugiaji wa tumbaku .

2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kupooza kwa mwili kunakosababishwa na maradhi.
6.ugonjwa wa kisukari.
7.kujisaidia kwa njia ya mkono.
8.kuwa na mawazo kupita kiasi.
9.kufanya kazi ngumu.

Ukitaka dawa za kuongeza nguvu za kiume bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html

Mkuu HARUFU Vipi hali yako ndugu?
 
Last edited by a moderator:
nyongeza ya visababishi; 1.kiwango kidogo cha homoni za kiume, 2. kuwa na mafuta mengi mwilini 3. kuwa na BP, 4. matumizi ya madawa kama ya kuzuia depression (antidepressants),ya kupunguza maumivu n.k 5. kuwa na depression, 6.maradhi ya ubongo kama stroke. kwa ushauri zaidi/virutubisho ni pm
 
Unaurefu wa ft ngapi na unakilo ngapi ilinikusaidie dawa ninayo ijua .
 
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:

1.ubugiaji wa tumbaku .

2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kupooza kwa mwili kunakosababishwa na maradhi.
6.ugonjwa wa kisukari.
7.kujisaidia kwa njia ya mkono.
8.kuwa na mawazo kupita kiasi.
9.kufanya kazi ngumu.

Ukitaka dawa za kuongeza nguvu za kiume bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html

Mkuu HARUFU Vipi hali yako ndugu?
Mzima wa afya nashukuru sana
Hakuna msongo wa mawazo wala tatizo lolote hali kadhalika, nafurahia pia uwepo wangu hapa ulimwenguni
 
Back
Top Bottom