Kupunguza chumvi kwenye maji ya visima ili yafae kunywa

Kupunguza chumvi kwenye maji ya visima ili yafae kunywa

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,369
Nimemuuliza jamaa yangu tuliyesoma nae yeye alikuwa bingwa wa kikariri hivyo alisoma science ya bongo.

Ni vipi nitapunguza chumvi chumvi kwenye kisima changu kaniambia nunua chumvi ya mawe kama kilo tatu halafu kamwage kwenye hicho kisima,kisha anakata simu! Sasa nimempigia saana ilianifafanulie lakini hapokei....baadae ,Kanitumia sms hii:
"NaCl + H2O -NaoH+HCl.
Then NaCl will dissolve.
Endelea kuleta dharau na sayansi ya bongo"

Sasa nimekoma kuwa na mizaha nae yaani sikuelewa kitu. Jamii ya wanasayansi nawaombeni radhi naombeni ufafanuzi.

Pia nawaomba wenye ujuzi wa hili wanisaidie
 
Daaah jitahidi ubadili namba ya simu ili apokee afu weka loudspeaker make tupo wengi sana
 
Daaah jitahidi ubadili namba ya simu ili apokee afu weka loudspeaker make tupo wengi sana
Yule ni jamaa yangu ila tunataniana sana ,yaani sijui nikonvisi vipi,nikipiga kwa namba nyingine ananitambua sauti
 
Nimemuuliza jamaa yangu tuliyesoma nae yeye alikuwa bingwa wa kikariri hivyo alisoma science ya bongo.

Ni vipi nitapunguza chumvi chumvi kwenye kisima changu kaniambia nunua chumvi ya mawe kama kilo tatu halafu kamwage kwenye hicho kisima,kisha anakata simu! Sasa nimempigia saana ilianifafanulie lakini hapokei....baadae ,Kanitumia sms hii:
"NaCl + H2O -NaoH+HCl.
Then NaCl will dissolve.
Endelea kuleta dharau na sayansi ya bongo"

Sasa nimekoma kuwa na mizaha nae yaani sikuelewa kitu. Jamii ya wanasayansi nawaombeni radhi naombeni ufafanuzi.

Pia nawaomba wenye ujuzi wa hili wanisaidie
Yaani hilo somo la kemia naliogopa !!!
 
Sasa hiyo base na Acid unavihitaji?
Jamaa yako kakutania tu usijekufanya ivo.

Nchi zenye maji ya chumvi hufanya Reverse Osmosis ina maana kuna mitambo ya kufanya ivo.

Ukifanya Distillation utapata maji pure yasiyokuwa na minerals ambayo kimsingi hayafai kwa kunywa wala hayana ladha, yanafaa kwa matumizi ya maabara tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha humimu kwanza ni kufaham kisima chako kina Muunganiko wa chumvi na kwa kiwango gani, baada ya hapo utajua utumie ‘purifier’ gani na kwa ujazo/ kiwango gani cha maji yako.......
 
Back
Top Bottom