Kupunguza kuzeeka na kuwa na ngozi laini na changa

Kupunguza kuzeeka na kuwa na ngozi laini na changa

Walio na umri wa miaka 35 na kuendelea na anautayar wa kugharamikia ngoz yake kwa 240,000 anitafte nimpe set ya ecollagen, ni uhakika.. Ila usiwe na chunusi.. Kma unachunusi inabid kushughulikia hizo kwanza
Natamani ila parefuuuu uwiiii mie niko soft ila sing'ai
 
Walio na umri wa miaka 35 na kuendelea na anautayar wa kugharamikia ngoz yake kwa 240,000 anitafte nimpe set ya ecollagen, ni uhakika.. Ila usiwe na chunusi.. Kma unachunusi inabid kushughulikia hizo kwanza
Niko under 35 sina chunusi weupe wangu wa kawaida ila sin'gai weupe wa mwili na wausoni ni tofauti naomba ushauri nitumie nini? Nin'gae sio kujichubua kwa sasa sina mafuta maalum wakati mwingine sipaki kabisa
 
Ngozi yangu ya uso ni ya mafuta na kavu,na ni sensitive , nina miaka 47 . Nipake vipodozi gani? Nisaidie.
 
Jamani chunusi zinanisumbua usoni na mabegani na kifuani.zikipona zinabakiza vimadoa doa vyeusi.nitumie nini kuondoa?
natumia miracle medical soap na lotion yake..ni salama?ngozi yangu ni ya mafuta
 
Jamani chunusi zinanisumbua usoni na mabegani na kifuani.zikipona zinabakiza vimadoa doa vyeusi.nitumie nini kuondoa?
natumia miracle medical soap na lotion yake..ni salama?ngozi yangu ni ya mafuta
Sabuni zisizo salama zitakuletea matatizo mengine. Nakushauri wasiliana nasi kupitia 0659528724 au 0784082847 kwa ushauri wa kitaalam na kuondoa makovu na madoa yote. Karibu sana
 
JINSI YA KUIFANYA NGOZI YAKO KUWA CHANGA NA KUPUNGUZA KUZEEKA

KUZEEKA KWA NGOZI NA JINSI YA KUPUNGUZA KUZEEKA
Kuzeeka ni utaratibu wa kawaida kwa mwili wa binadamu. Na hutokea kila siku kwa yeyote ambaye ameshafika umri wa utu uzima. Hakuna shida yoyote kwa mtu kuwa mzee isipokuwa kama mtu anapenda au anahitaji muonekano wa ujana – ngozi laini, nywele nyeusi nk

JINSI KUZEEKA KWA NGOZI KUNAVYOTOKEA
Kuzeeka kunatokana na kuharibika na kupungua kwa protini za ngozi zinazofanya kazi ya kuifanya ngozi iweze kukua, kuvutika na kutunza maji ya kutosha. Protini hizi huitwa elastin na collagen.
Protini hizo zikiharibika na kupungua ngozi hushindwa kukua, hushindwa kuvutika na hupoteza maji na matokeo yake huanza kufubaa, kuwa ngumu na kuwa makunyanzi.
Pia kushindwa kuvutika kwa ngozi ndio sababu ya mtu kuwa na michirizi.

JINSI YA KUPUNGUZA AU KUONDOA KUZEEKA KWA NGOZI
Kuzeeka kwa ngozi kunaweza kupunguzwa au kuondolewa kwa kuongeza uzalishaji na kiasi cha protini aina za elastin na collagen
Hilo linaweza kufanikishwa kwa vipodozi vya aina mbalimbali katika mfumo wa lotion, cream, mafuta na kadhalika
Hizi zitasaidia kuifanya ngozi kuwa changa na ya kuvutia kwa kuisaidia kukua, kuvutika na kutunza maji ya kutosha.

VITU GANI UTUMIE KUFANIKISHA HILI
Kuna bidhaa za aina nyingi na za kampuni mbalimbali za kuweza kufanikisha zoezi hili. Mfano wa kwanza ni vipodozi vyenye Vitamin A au mazao yanayotokana na Vitamin A (Lazima upate ushauri wa kitaalam ndipo uanze kutumia na zikusaidie vizuri)
Pia kuna vipodozi vyenye Vitamin E. Hivi navyo husaidia sana kuifanya ngozi kuwa laini na ya kupendeza, na kupunguza kuzeeka kwa ngozi.
Kitu cha muhimu ni kusaidia kuondoa ngozi iliyozeeka, kuongeza uzalishaji wa elastin na collagen na kuongeza maji na utunzaji maji katika ngozi (Moisturizer husaidia kukamilisha zoezi la kuongeza maji katika ngozi. Chagua iliyo bora kabisa na utumie).
Pia kunaweza kuwa na tofauti ya mahitaji ya bidhaa kati ya mtu na mtu, kwa hiyo ni vyema kila mtu kushauriwa kutokana na ngozi yake na mahitaji yake.
EPUKA VIPODOZI VISIVYO SALAMA NA VILE VISIVYOFAA KWA NGOZI YAKO. VINAWEZA VIKAKUHARIBU ZAIDI.

PATA USHAURI WA KITAALAM, BIDHAA BORA NA SALAMA NA MAELEZO ZAIDI
Kwa kupata maelezo zaidi, ushauri wa kitaalam na bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na usalama unaweza kuwasiliana na Washauri wa afya na wataalam wa urembo na vipodozi - S&E BEAUTY SOLUTIONS

S&E BEAUTY SOLUTIONS
TEMEKE BUZA BLOCK T PLOT No. 601
MASHINE YA MAJI NAMBA 5
DAR ES SALAAM
Simu : 0 659 528 724 , 0 784 082 847
Pia unaweza ukatembelea ukurasa wetu wa Facebook : S&E BEAUTY SOLUTIONS
E-mail : tecetra@gmail.com
Vp kuhusu fair and white brightening cream? Inamadhara?
 
Ngozi yangu ni ya mafuta,ni mweupe ila usoni si mweupe kama mwilini,sielewi nitumie lotion au creme gani ili inisaidie niwe kawaida,sasa hivi natumia orangevate gel nachanganya na coco pulp,nikiacha naharibika uso, naomba ushauri Niko arusha
Tumia lotion ya rapid clair usichanganye na kitu chochote paka yenyewe.
 
Niko under 35 sina chunusi weupe wangu wa kawaida ila sin'gai weupe wa mwili na wausoni ni tofauti naomba ushauri nitumie nini? Nin'gae sio kujichubua kwa sasa sina mafuta maalum wakati mwingine sipaki kabisa
Tumia rinju kopo la brown
 
Jamani chunusi zinanisumbua usoni na mabegani na kifuani.zikipona zinabakiza vimadoa doa vyeusi.nitumie nini kuondoa?
natumia miracle medical soap na lotion yake..ni salama?ngozi yangu ni ya mafuta
Tumia ingrams comphor cream ya kwenye kopo la kijani na sabuni ya peary
 
Em tutajie Anti-aging creams nzuri, uzee ukianza tu nihamie huko
kwanini utumie makemikali?.
Tumia coconut virgin oil,ngozi yako itakuwa laini na nyororo.

Halafu ule sana mbogamboga kama mgagani,mchicha etc.
Na maji kwa wingi
 
Em tutajie Anti-aging creams nzuri, uzee ukianza tu nihamie huko
kwanini utumie makemikali?.
Tumia coconut virgin oil,ngozi yako itakuwa laini na nyororo.

Halafu ule sana mbogamboga kama mgagani,mchicha etc.
Na maji kwa wingi
 
Niko under 35 sina chunusi weupe wangu wa kawaida ila sin'gai weupe wa mwili na wausoni ni tofauti naomba ushauri nitumie nini? Nin'gae sio kujichubua kwa sasa sina mafuta maalum wakati mwingine sipaki kabisa
Fanya haya ili uing'arishe ngozi ya uso wako
1:Jitahidi kunywa maji mengi kadri uezavyo,hii itaifanya ngozi ya uso wako iwe na unyevunyevu

2:tumia pamba chovya kwenye juis ya karoti af jipakae usoni then baada ya dakika 10 jifute

3:tumia kipande cha papai changanya na unga wa ngano af jipake usoni kaa nayo kama 15 minutes then jifute au kula mapapai mara kwa mara

4:saga parachichi then jipake kaa nayo kidogo af jifute

5: tumia utomvu wa aloe vera kwa kujipaka sehemu iliyoathirika
Fanya haya kwa majuma kama mawili tu ngozi yako itakuwa ipo katika hali nzuri

Niko under 35 sina chunusi weupe wangu wa kawaida ila sin'gai weupe wa mwili na wausoni ni tofauti naomba ushauri nitumie nini? Nin'gae sio kujichubua kwa sasa sina mafuta maalum wakati mwingine sipaki kabisa
 
kwanini utumie makemikali?.
Tumia coconut virgin oil,ngozi yako itakuwa laini na nyororo.

Halafu ule sana mbogamboga kama mgagani,mchicha etc.
Na maji kwa wingi
Mkuu hizo habari za maji tunakunywa sana ila vipodozi muhimuuu
 
Rinju haina tatizo, ni salama na ni nzuri. Clere ni nzuri pia ni salama kwa hizi za kawaida ambazo si za kuchubua au kung'arisha rangi ya ngozi, lakini CLERE LEMON CREAM na CLERE EXTRA CREAM ni mbaya na zimepigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania (TFDA). Zenyewe zina HYDROQUINONE, ambayo ni kiambata kibaya na kinachoweza kuharibu ngozi yako na kukuletea madhara mengine baadae. Hizo tusizitumie.
fair & white je ile ya so white
 
kwanini utumie makemikali?.
Tumia coconut virgin oil,ngozi yako itakuwa laini na nyororo.

Halafu ule sana mbogamboga kama mgagani,mchicha etc.
Na maji kwa wingi

Mtu mwenye ngozi ya mafuta anaweza kutumia coconut virgin oil?
 
kwanini utumie makemikali?.
Tumia coconut virgin oil,ngozi yako itakuwa laini na nyororo.

Halafu ule sana mbogamboga kama mgagani,mchicha etc.
Na maji kwa wingi
Pia mbogamboga kama karoti, matango, tikiti na parachichi zina hizo vitamini zote zinazoweza kusaidia ngozi, ni vizuri ukatengeneza juice recipe ya vitu hivyo ukawa unakunywa kila siku, gharama za hayo malotion ni kubwa ukilinganisha na hayo matunda, pia ni salama sana kwani hakuna chemical zilizoongezwa. kwa ujumla kuna vitu vingi sana vya asili vitakavyokufanya uwe forever young and glowing, tuache uvivu wa kula matunda
 
Back
Top Bottom