Kupunguza unene kwa njia ya Surgery

Kupunguza unene kwa njia ya Surgery

BMI ni Body Mass Index (uwiano wa urefu wa mwili na uzito) kuna formula yake ila mie nimeisahau tu. Inabidi upime uzito wako na urefu then uzito wako unagawanya kwa uzito kama sokosei. Ila hivyo uzito sijui unatakiwa kuwa kwenye unit gani na sio meter

Body Mass Index au Body Weight Index? Chukua urefu wako in metres then square it...baada ya hapo chukua weight yako gawanya kwa ile square ya height yako.
Mfano: Weight is 73kg and height is 171cm which is 1.71m.
Square of 1.71 is 2.9241
Then weight/square of height=73/2.9241=24.9649
Hence your body weight index is 24.96 rounding up to 25.
Advice: Go to the nearest nutritionist for elaboration before you take any further step.
 
Body Mass Index au Body Weight Index? Chukua urefu wako in metres then square it...baada ya hapo chukua weight yako gawanya kwa ile square ya height yako.
Mfano: Weight is 73kg and height is 171cm which is 1.71m.
Square of 1.71 is 2.9241
Then weight/square of height=73/2.9241=24.9649
Hence your body weight index is 24.96 rounding up to 25.
Advice: Go to the nearest nutritionist for elaboration before you take any further step.

Copy falcon mombasa
 
Last edited by a moderator:
Kang mkuu kwa hapa afrika hufanyika wapi surgery za kunyonya mafuta? na je zina madhala kiafya?
South Africa wapo cosmetic surgeons wazuri uki google Cosmetic surgey south africa utawapata. Hakuna madhara as such ila kuna risk ndogo ya kupata complications kama infection etc kama kila operation ilivyo na risk, ila kwa liposuction ikifanywa na mtaalamu risk ni ndogo sana.
 
South Africa wapo cosmetic surgeons wazuri uki google Cosmetic surgey south africa utawapata. Hakuna madhara as such ila kuna risk ndogo ya kupata complications kama infection etc kama kila operation ilivyo na risk, ila kwa liposuction ikifanywa na mtaalamu risk ni ndogo sana.

yaah nitakwenda kutengeneza six pack
 
Back
Top Bottom