Kupunguza uzito kwa dawa

Kupunguza uzito kwa dawa

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa

Umri: 25
Uzito wa Sasa: 100 kg
Lengo: Kupunguza kilo 10-15 kwa mwezi mmoja.


Sina unene kupita kiasi, lakini nina mwili mkubwa na kitambi kidogo.
Ninaweza kukimbia na kufanya kila kitu kwa ufasaha kabisa lakini nina minyama nyama kwenye kifua imeshuka ndo kinachonikela zaidi

Nina nia ya kupunguza uzito kwa njia yoyote isio na madhara. Naomba ushauri wenu kuhusu dawa gani nzuri naweza kutumia ikafanikisha lengo langu
Asante
 
Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa

Umri: 25
Uzito wa Sasa: 100 kg
Lengo: Kupunguza kilo 10-15 kwa mwezi mmoja.


Sina unene kupita kiasi, lakini nina mwili mkubwa na kitambi kidogo.
Ninaweza kukimbia na kufanya kila kitu kwa ufasaha kabisa lakini nina minyama nyama kwenye kifua imeshuka ndo kinachonikela zaidi

Nina nia ya kupunguza uzito kwa njia yoyote isio na madhara. Naomba ushauri wenu kuhusu dawa gani nzuri naweza kutumia ikafanikisha lengo langu
Asante
Bosss,fuatilia maelekezo ya janabi,kwa kutumia dawa nahofia kuwa utakuwa unaingiza mwilini chemical nyingi
 
Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa

Umri: 25
Uzito wa Sasa: 100 kg
Lengo: Kupunguza kilo 10-15 kwa mwezi mmoja.


Sina unene kupita kiasi, lakini nina mwili mkubwa na kitambi kidogo.
Ninaweza kukimbia na kufanya kila kitu kwa ufasaha kabisa lakini nina minyama nyama kwenye kifua imeshuka ndo kinachonikela zaidi

Nina nia ya kupunguza uzito kwa njia yoyote isio na madhara. Naomba ushauri wenu kuhusu dawa gani nzuri naweza kutumia ikafanikisha lengo langu
Asante
"Je unajua madhara ya njia za mkato katika kutafuta kupunguza unene wa mwili wako? - BBC News Swahili" Je unajua madhara ya njia za mkato katika kutafuta kupunguza unene wa mwili wako? - BBC News Swahili
 
Endelea na mazoezi ila punguza kiwango cha chakula cha wanga , pia kunywa maji mengi fanya hivi kwa miezi sita bila kujitazamatazama umefikia wapi🤔

Note: kupunguza uzito kwa kiwango kikubwa kwa haraka sio nzuri kiafya.
 
Habari wakuu naomba ushauli wa kupunguza uzito kwa haraka zaidi naona ninapoelekea sio kuzuri, je nitumie dawa gani maana kwa kufanya mazoezi nitakuwa muongo sina muda huo kabisa

Umri: 25
Uzito wa Sasa: 100 kg
Lengo: Kupunguza kilo 10-15 kwa mwezi mmoja.


Sina unene kupita kiasi, lakini nina mwili mkubwa na kitambi kidogo.
Ninaweza kukimbia na kufanya kila kitu kwa ufasaha kabisa lakini nina minyama nyama kwenye kifua imeshuka ndo kinachonikela zaidi

Nina nia ya kupunguza uzito kwa njia yoyote isio na madhara. Naomba ushauri wenu kuhusu dawa gani nzuri naweza kutumia ikafanikisha lengo langu
Asante
Kula mlo mmoja kwa siku utapu gua fasta tuu
 
Endelea na mazoezi ila punguza kiwango cha chakula cha wanga , pia kunywa maji mengi fanya hivi kwa miezi sita bila kujitazamatazama umefikia wapi🤔

Note: kupunguza uzito kwa kiwango kikubwa kwa haraka sio nzuri kiafya.
Ila mwanzoni wese linatoka fasta tuu maama mwili wenyewe naturally unataka kutoa excess fat
 
Achana na dawa, fanya chakula ndio tiba yako.

Epuka wanga kabisaaa, miwali, ugali, mingano mgano, epuka misoda soda na vyakula vyenye sukari ya kiwandani.
Kunywa maji kwa wingi, matikiti..
Asubuhi ukiamka unapiga supu yako ya samaki na vikabichi,epuka nyama nyekundu, mchana, ukila apple zako kadhaa, usiku unakatakata tikiti, parachichi na mboga za majani, maji kwa wingi.

Wiki 1 tu unapunguza kilo za kutosha. Tena ukiwa na nafasi ya kufanya mazoezi ndio kabisaa, wiki tu mabadiliko ya kilo utayaona, mwezi utaona mwili wenyewe unapungua.

Mwaka wa kuwa na mihela kama jambazi, nawaza kuanzisha clinic, hapo unaishi na watu wenye matatizo hayo, elimu ya tiba lishe inatolewa, kula yao inaenda kwa vitendo, na mazoezi juu.
 
Kabisa mkuu mafuta mengi mwilini ni mabaya mno , na huu mtindo wa kisafari kidgo tu bodaboda sasa ni janga la taifa.
Tena janga kubwa sana. Nimekuja kugubdua sehe u ya boda buku myu unaweza tembea bizuri sana.
Kutembea tuu tayari mazoezi safi sana.

Ukiweka na mlo wako mmoja kwa siku plus matunda na mayai ya kuchemsha mwili unausikia una nguvu kabisa
 
Achana na dawa, fanya chakula ndio tiba yako.

Epuka wanga kabisaaa, miwali, ugali, mingano mgano, epuka misoda soda na vyakula vyenye sukari ya kiwandani.
Kunywa maji kwa wingi, matikiti..
Asubuhi ukiamka unapiga supu yako ya samaki na vikabichi, mchana, ukila apple zako kadhaa, usiku unakatakata tikiti, parachichi na mboga za majani, maji kwa wingi.

Wiki 1 tu unapunguza kilo za kutosha. Tena ukiwa na nafasi ya kufanya mazoezi ndio kabisaa, wiki tu mabadiliko ya kilo utayaona, mwezi utaona mwili wenyewe unapungua.

Mwaka wa kuwa na mihela kama jambazi, nawaza kuanzisha clinic, hapo unaishi na watu wenye matatizo hayo, elimu ya tiba lishe inatolewa, kula yao inaenda kwa vitendo, na mazoezi juu.
Nakuunga mkono mkuu,hamna namna zaidi ya kupunguza,wanga ,sukari na red meat
 
Endelea na mazoezi ila punguza kiwango cha chakula cha wanga , pia kunywa maji mengi fanya hivi kwa miezi sita bila kujitazamatazama umefikia wapi🤔

Note: kupunguza uzito kwa kiwango kikubwa kwa haraka sio nzuri kiafya.
Hana madeni huyu itakuwa. Hawezi kupungua
 

Attachments

  • 099d148d411944c999fa1d55af3ad7c1.mp4
    1.9 MB
Back
Top Bottom