Mkuu hao wanakuzungusha njia ndefu, we Fanya hivi njoo tukope 50m dhamana nyumba ya mzee wako Kisha Hela nipe Mimi nikafanyie biashara ntakuwa narudisha pesa na faida yako Kila mwezi, ndani ya mwaka mmoja tu mkuu wangu amini utakuwa kama kijiti. We nikopee tu Hela nipe mimi