Kupunguza wachezaji wa kigeni Simba na Yanga kutaifanya Taifa Stars ifanye vizuri

Kupunguza wachezaji wa kigeni Simba na Yanga kutaifanya Taifa Stars ifanye vizuri

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni wakifanya vizuri kuliko wazawa.

Kinachatakiwa sasa ni kurekebisha hali hii na kutia nafasi tatu tu kwa wachezaji wa Kigeni kama ilivyo Algeria ili kuwapatia wazawa nafasi zaidi ya kuwa bora na hatimaye kupata Taifa Stars mahiri.
 
Haya tupe mafanikio ya Algeria yapoje mpaka sasa?

2) Kabla ya uwepo wa wachezaji wengi wa kigeni kwa Simba na Yanga, je timu ya taifa ilikuwa na mafanikio yapi? Au unadhani kipindi cha nyuma ligi haikuwa na wachezaji wengi wazawa?
 
Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni wakifanya vizuri kuliko wazawa.

Kinachatakiwa sasa ni kurekebisha hali hii na kutia nafasi tatu tu kwa wachezaji wa Kigeni kama ilivyo Algeria ili kuwapatia wazawa nafasi zaidi ya kuwa bora na hatimaye kupata Taifa Stars mahiri.
Siyo kweli, tunawahitaji wachezaji wa kigeni kwasababu kuu mbili 1. Wanauwezo kuliko wazawa, (,individual skills). 2. Kwaajili ya kubadilishana uzoefu, (sharing experience)

Mfano timu yenye wachezaji wote wa kigeni watakapo kutana na timu yenye wazawa tupu ule ushindani watakao upata mara kwa mara na wao viwango vyao vinakua pia unapo fanya mazoezi pamoja na mwenye ujuzi zaidi yako nawewe unapata ujuzi, mfano hai boya akikutana na boya hoja zao ama muunganiko wao utakuwa wa kiboya tu
 
Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni wakifanya vizuri kuliko wazawa.

Kinachatakiwa sasa ni kurekebisha hali hii na kutia nafasi tatu tu kwa wachezaji wa Kigeni kama ilivyo Algeria ili kuwapatia wazawa nafasi zaidi ya kuwa bora na hatimaye kupata Taifa Stars mahiri.
Kama umewahi kupeleka watoto wake kwenye sports events let's say wake kwenye track and field wanashindana mbio ukaona mwanao yuko nyuma si unampa morari 'kimbia,ongeza mbio' au si hivyo? The issue is wachezaji wetu wapambane wafikie viwango vya ku-compete na hao wageni kupambania namba na ndiyo itakuwa inawakuza viwango.
Kabla ya kuwa na wachezaji wengi wa kigeni katika clubs hizo kubwa time yet ya taifa ilikuwa na ubora gani?
 
Kwa jinsi mpira wa Tanzania ulivyo Simba na Yanga ndio zinategemwa kuwa kuwa mhimili wa timu ya taifa, bahati mbaya sana ni kwamba vilabu hivi viwili vimetawaliwa zaidi na wachezaji wa kigeni wakifanya vizuri kuliko wazawa.

Kinachatakiwa sasa ni kurekebisha hali hii na kutia nafasi tatu tu kwa wachezaji wa Kigeni kama ilivyo Algeria ili kuwapatia wazawa nafasi zaidi ya kuwa bora na hatimaye kupata Taifa Stars mahiri.
Miaka kibao Simba na Yanga zilikua na rundo la wachezaji wazawa waliisaidia vipi taifa stars???

Ili timu ya taifa ifanye poa lazima tuwe na wechezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya.. anagalia mataifa yote yanayofanya vizuri vizuri huwezi ona wachezaji wao ni local never
 
Dawa pekee ya kuwa na timu imara ya Taifa ni kupeleka wachezaji kucheza ligi za nje tu. Asilimia kubwa ya washindani wetu, unakuta wachezaji wao wengi wanacheza Ulaya!

Sisi bado tuna mawazo ya kuchukua wachezaji wa Simba na Yanga!!
 
Kabla ya kuwa na wachezaji wengi wa kigeni kwenye ligi ya bongo tulifanikiwa nini?
 
Amueni moja, mnataka ligi Bora au mnataka Taifa stars iwe Bora?. Msisahau ubora wa ligi nao imechagizwa na wageni
 
Ukiweza kunijibu nitaunga mkono hoja yako.

Kwenye ubora wake Manula mbona hakuwekwa benchi?

Kwanini Mohammed Hussein Zimbwe hawekwi benchi pamoja nakuletewa mgeni kwenye nafasi yake?

Kwanini Job na Bacca wanacheza kila siku?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hamna academy za maana mnawaza kuzuia wachezaji wa kigeni.
Katika mashindano ya cecafa under 20 ni wachezaji wangapi wametoka academy.
Kocha wa Uganda anahojiwa anasema wachezaji wake wengi wa ulaya wanetokea under 17 lakini sisi wachezaji wengi wanetokea vilabu vya ligi kuu wale under 17 wako wapi?
Unachukua kocha ambaye alishapumzika ili akaongoze timu ya vijana.
 
Back
Top Bottom