Kura mtandaoni kuamua muundo wa serikali

Prophet

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2010
Posts
274
Reaction score
126
Kelele zimekuwa ni nyingi sana kuhusu ni upi muundo wa serikali katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania uliopendekezwa/ unaopendelewa na watanzania tulio wengi. Huu sasa ni wakati muafaka kwa mitandao mbalimbali ikiwemo humu JF kuendesha kura ya wazi tuone na kuondoa ubishi juu ya huu muungano bila kuuvunja.

Ni serikari Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Tupo zama nyingine kipindi hiki cha Teknolojia ya kompyuta. Kazi kwenu.
 
serikali moja

Unguja na Pemba ziwe Wilaya eeeh Zanzibar iwe mkoa!!!
Chezea ulaji wewe.
CCM wameifikisha zanzibar hapo leo hii hawataki Serikwli tatu, wanajidanganya wenyewe. 3 ndiyo shughuli iliyopo
 
serikali 3 Tanganyika yetu irudi.historia yetu watanganyika imepotea
 
Tatu3 ndio mpango mzima nchi moja
 
selikali 3 ndo njia pekee ya kuunusulu muungano wetu bunge la katiba pekee sio jibu la miswada iliopo kwenye katiba ni vema washilikishwe wananchi wote kila kipengele kitakachokua kinaleta utata tukilitegemea bunge la katiba ni kaukucha kwenye mwili bila ukucha mwili usiende basi tusipo yajali maoni ya wananchi katiba yazamani italudi kwakeli mtumie busala sana ktk kufanya maamuzi juu ya jambo nyeti kama hili
 
3 in federation or vunja kabisa and later let's meet in EAC as good close brotherly neighbouring states
 
Muungano wa kweli maana yake kila mtu ana surrender sovereignity yake na hii ni serikali moja tu. Nje ya hapo tutakuwa tunacheza shere tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…