Pori la kupotezea zili fomu zinazoporwa kwa wagombea siku ya kuzirudisha.Pori gani? 🐼
Ndio maana nchimbi alikimbia mdahalo lakin aliyopaswa kuyasema yamesemwa na mfuasi wao.Hivi huwa mnajisikiaje hata baada ya kubadilisha matokeo halali ya uchaguzi au kuengua Wagombea wa upinzani bado mnawateka Wagombea hao na kuwatelekeza maporini waliwe na wanyama kama alivyokiri Leo aliyekuwa DC wa Longido Marco Ng'umbi?
Ila nyie hata shetani inabidi aje kuchukua mafunzo kwenu.
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Yes, na si mshamba tu, ana ujuaji wa kishamba pia likatili. Macho yake tu yanaonyesha.Conclusion..
Huyu jamaa Ni Mshamba..
Aliyemteua anayajua hayo maporiHivi huwa mnajisikiaje hata baada ya kubadilisha matokeo halali ya uchaguzi au kuengua Wagombea wa upinzani bado mnawateka Wagombea hao na kuwatelekeza maporini waliwe na wanyama kama alivyokiri Leo aliyekuwa DC wa Longido Marco Ng'umbi?
Ila nyie hata shetani inabidi aje kuchukua mafunzo kwenu.
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Bora kutumika na Mabeberu kuliko kutumika na mashetaniHivi huwa mnajisikiaje hata baada ya kubadilisha matokeo halali ya uchaguzi au kuengua Wagombea wa upinzani bado mnawateka Wagombea hao na kuwatelekeza maporini waliwe na wanyama kama alivyokiri Leo aliyekuwa DC wa Longido Marco Ng'umbi?
Ila nyie hata shetani inabidi aje kuchukua mafunzo kwenu.
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Huyu atakuwa kalewa maana kaongea mambo ya aibu sana kwa serikali, huyu wakuliwa kichwa hana maana kabisa
Conclusion..
Huyu jamaa Ni Mshamba..
Yes, na si mshamba tu, ana ujuaji wa kishamba pia likatili. Macho yake tu yanaonyesha.
Au la wale wa madoa doa walafi?Pori gani? 🐼
Siku ukitekwa wewe ndipo utajua ni pori gani.Pori gani? 🐼
Muulize DC wenuPori gani? 🐼
Damu za waliowapoteza ziko juu yao na watoto waoHivi huwa mnajisikiaje hata baada ya kubadilisha matokeo halali ya uchaguzi au kuengua Wagombea wa upinzani bado mnawateka Wagombea hao na kuwatelekeza maporini waliwe na wanyama kama alivyokiri Leo aliyekuwa DC wa Longido Marco Ng'umbi?
Hajalewa amesema ukweli Ametoa siri ya Serikali yake jinsi inavyo iba kura.Huyu atakuwa kalewa maana kaongea mambo ya aibu sana kwa serikali, huyu wakuliwa kichwa hana maana kabisa