Kwani hzi mbili zina kasoro gani!It sounds logical to have one united government than three!
serkal 2 ili kuepusha kuvunja muungano siku za usoni
hakuna muafaka kwenye hili tusidanganyane. suluhisho ni wananchi wa pande 2 kupiga kura. Kwanza muungano wanautaka?
Serikali tatu.
serikali tatu ndio uhalisia wa muungano.