malenga wetu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 283
- 198
Wanajamvi wote tumeshuhudia mvutano mkali wakati huu wa kutunga katiba mpya ya JMT. Wengine wakitaka katiba mpya iruhusu muundo wa serikali 1, 2 ama 3. Hotuba ya Jaji Warioba ilitamka wazi kwamba serikali 3 haziepukiki, huku zaidi ya 60% ya waliotoa maoni yao kuhusu muundo wa serikali walipendekeza kuwe na serikali 3.
CCM kama chama cha siasa wao wameagamia kwenye serikali 2 kwa kile kinachosemekana kwamba wana maslahi mapana na muundo wa serikali 2.
Naomba MODS mutwekee POLL ili na sisi wana JF tupate kupiga kura kupima hasa miongoni mwetu na asilimia ngapi wanataka muundo wa serikali 1, 2 ama 3.
CCM kama chama cha siasa wao wameagamia kwenye serikali 2 kwa kile kinachosemekana kwamba wana maslahi mapana na muundo wa serikali 2.
Naomba MODS mutwekee POLL ili na sisi wana JF tupate kupiga kura kupima hasa miongoni mwetu na asilimia ngapi wanataka muundo wa serikali 1, 2 ama 3.