Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
kwa wale tunao amin umoj ni nguvu,hatuwez kufuata mawazo ya kipumbavu km hayo.nchi za ulay zinajiuunga pamoja na utajir wao.so mawazo ya kibaguzi ya watu wachache km nyia,kamwe hatuwez kuyafanyia kazi
UKWELI UNAUMA
WEWE NI KIJANA WA VIJIWE VYA CHADEMA ??? MBEGE IMEKUZIDI ??
NCHI GANI YA ULAYA INACHAGULIWA KIONGOZI WAKE KUTOKA NCHI JIRANI ???
UKWELI HUU HAUPINGIKI MPKA MWISHO WA DUNIA
Baada Nyerere kuivamia zanzibar january 1964 , aliwakamata mawaziri wote pamoja na waziri mkuu wa zanzibar na kuwafunga jela za tanganyika , kabla ya huo aliouita muungano
jee hapa kuna muungano wa nchi mbili au
Hii kitu haiwezi kuwa milele ,
Tanganyika iwaombe radhi wazanzibari na kuwaachia waangalie wenyewe wafanye nini na sio kukaa dodoma na kujipakazia katiba mpya
