Cha kwanza Tanzania ni nchi huru inayo jiamuliya mambo yake yenywewe na katika hili swala la muungano kuna suluhisho moja tu ambayo litawaridhisha wote watanganyika na wazanzibari na muundo huo ni huu
Tunakuwa na mataifa huru mawili ndani ya serekali moja maana yake ni hii, Tunakuwa na nchi huru mbili ambazo ni Tanganyika na Zanzibari zitakazo na ongozwa na waziri wakuu watakao wachagua na wabunge ndani ya bunge lakini hizi nchi mbili zote zitakuwa zinaongozwa na raisi mmoja ambayo atachaguliwa na watanzania woote ili kuimarisha uumoja wa kitaifa
Na mambo mengine ya kiutawala yataendelea kawaida ila wawaziri wakuu ndo viongozi wa nnchi husika na rahisi ndo atatawala nnchi yoote kwa ujumla hayo ndo mawazo yangu mnaruhusiwa kuboresha na kukosoa pia, MUNGU WABARIKI WANAOTAKA KUBARIKIWA.......EEMEN