Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Muundo upi wa Muungano unafaa?

  • Serikali 1

    Votes: 81 23.3%
  • Serikali 2

    Votes: 22 6.3%
  • Serikali 3

    Votes: 241 69.5%
  • Sijui

    Votes: 3 0.9%

  • Total voters
    347
  • Poll closed .
Ivi kunaugumu gani kuweka TANGANYIKA?. mbona wanaiondoa?. Tunataka tanganyika yetu kwanza wasilete mchezo.
 
Tunataka serikali yetu ya Tanganyika kwa nin wanaiondoa rasimu ya chenge hatuitaki kwanza ni mwizi na rasimu ya pia ni ya wizi mtupu
 
wanapiga kula ya wazi unafiki mtupu siunajua wanaogopata kaanza stta wengine ni bendera fata upepo
 
Suala la katiba ambayo haina asilimia mia ya wajumbe,siyo katiba,na ni kuweka akiba ya matatizo kyk Taifa,Naami Un haitapokea katiba yenye malalamiko,hsitakuwa na tija kwa kama haijakubalika,ukweli ni kwamba,bado Tanzania tunahitaji katiba baada ya CCM kumaliza katiba yao bungeni.
 
Suala la katiba ambayo haina asilimia mia ya wajumbe,siyo katiba,na ni kuweka akiba ya matatizo ktk Taifa,Naamini UN haitapokea katiba yenye malalamiko,haitakuwa na tija kama haijakubalika,ukweli ni kwamba,bado Tanzania tunahitaji katiba mpya baada ya CCM kumaliza katiba yao bungeni.
 
migogoro yote y muungano inaletwa na serikali kuwa2.......ikiwa moja......mwake......
 
Natafuta kiwanja cha kujenga makazi ya kuishi.
Bajeti yangu ni Tsh. 15 milioni

Sifa za kiwanja.
1. Kiwe kimepimwa na kina hati miliki na kisiwe na mgogoro wowote.
2. Kiwe mahala ambapo watu wameshaanza kujenga na- kuna huduma za kijamii, kama, maji na umeme.
3. Kisipungue ukubwa wa sqm 1000.

Maeneo ninayopenda zaidi.
1. Tabata, Wazo hill, Pugu, Kigamboni, Kibada, Toangoma, Kimara, mbezi, chanika, Ukonga, Goba
Mbeni,na maeneo mengine mazuri.

Email yangu ni woowtv@live.co.uk

NB.
Ningefurahi kama ningepata cha ukubwa wa sqm 1200 au zaidi, ninaweza kuongeza pesa kama- nitalidhika na kiwanja na mahala kilipo.


ASANTENI.
 
Serikali mbili ndio mpango mzima na katiba iliyopendekezwa ni ya wananchi endeleenu kujidanganya kwan ukawa walitumwa watoke nje??? Walifikir kutoka kwao nje katiba itasitishwa ng'oooooo wenye akili waliendelea na kaz iliyowapeleka bungeni bali wapumbavu waliendelea kupiga majungu nje
 
Mi napenda kuiona Tanzania yenye serikali MOJA. Lakini kwa sasa ni ngumu kufikia serikali 1 kwa kupitia serikali 2. Ni rahic kufikia serikali 1 kwa kupitia 3.
 
Back
Top Bottom