Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

karibu wote hapo leo itasikia wapo ICU .

Unayosema kweli maana wengine ninawasiwasi na vile vitambi.......Unaweza kudhani ni afya kumbe ni shida.......maana afya mgogoro tupo wengi huko.........
 
Unayosema kweli maana wengine ninawasiwasi na vile vitambi.......Unaweza kudhani ni afya kumbe ni shida.......maana afya mgogoro tupo wengi huko.........
nawashangaa sana wanaanza kuwanyoshea vidole UKAWA kwa changamoto za kawaida wakati wao wana hali mbaya kuliko mgonjwa anayekaribia kufa huko dodoma najua wengi wao presha zipo juu .
 

View attachment 253549UKAWA SIO CHAMA CHA SIASA HAKITAPIGIWA KURA LABDA KAMA MMEKISAJILI LEO ASUBUHI!!!acha kupotosha umma!
 
akili ya mjinga huwaza ujinga kusema mbinu za kichaga ni siasa cha maji taka .

Unakataa nini we dada kwani madhumini ya muungano wa ukawa ni siri?kila mtu keshaelewa ujinga mlioplan.
 
Tuambie kuhusu UKAWA kwanza nani atapasuka ushahidi umeuona gazeti la Mwananchi!

Kwa sasa TUKO KITAIFA zaidi...........So kama unataka UKAWA you can join them.Maana yawezekana unawasiwasi.Usiwe kama panya unauma na kupuliza au mwanaume ulitongoza binti sasa umemkosa kila mahali unamwaga sifa za kumchafua.............
 
Unakataa nini we dada kwani madhumini ya muungano wa ukawa ni siri?kila mtu keshaelewa ujinga mlioplan.
siasa za maji taka hazitowapeleka popote mjiandaa ccm kuangamia baada ya majibu kutoka dodoma leo
 
nawashangaa sana wanaanza kuwanyoshea vidole UKAWA kwa changamoto za kawaida wakati wao wana hali mbaya kuliko mgonjwa anayekaribia kufa huko dodoma najua wengi wao presha zipo juu .

Yaani mgonjwa wao karibia anakata kauli pamoja na madaktari bingwa wote kwenda kumganga lakini wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…