Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
karibu wote hapo leo itasikia wapo ICU .Na leo lazima mmoja apelekwe INDIA kwa matibabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu wote hapo leo itasikia wapo ICU .Na leo lazima mmoja apelekwe INDIA kwa matibabu
Kwa hiyo.Buguruni team,njaa mbaya wakifika Ubungo watapasuana kule vunjo fasta walimpata mgombea bado majimbo 12 lazima pachimbike!
karibu wote hapo leo itasikia wapo ICU .
Na leo lazima mmoja apelekwe INDIA kwa matibabu
Kwa hiyo.
nawashangaa sana wanaanza kuwanyoshea vidole UKAWA kwa changamoto za kawaida wakati wao wana hali mbaya kuliko mgonjwa anayekaribia kufa huko dodoma najua wengi wao presha zipo juu .Unayosema kweli maana wengine ninawasiwasi na vile vitambi.......Unaweza kudhani ni afya kumbe ni shida.......maana afya mgogoro tupo wengi huko.........
hizo changamoto za kawaida .kwani ccm mpo salama nyie subirini majibu kwenye kikao cha kamati kuu ya ccm .Wee si ndo msemaji wao toa tamko kwa nini wanapasuana!
hizo changamoto za kawaida mbona mnahangaika sana UKAWA .Tuambie kuhusu UKAWA kwanza nani atapasuka ushahidi umeuona gazeti la Mwananchi!
akili ya mjinga huwaza ujinga kusema mbinu za kichaga ni siasa cha maji taka .Mbinu ya kichaga ishashtukiwa,hahahaha!!
Naona pilipili ilo shamba imekuwasha kila mahali.............Mbaya zaidi sijui uliila nyingi maana hata choo chako kinaonyesha...............
Kawaulieze wenzako CAG kawapa ya aina gani MBUZI au KICHAA...........Naona UKAWA wamewatandika mpaka na ----- mwaka huu mnao.................
VOTE FOR UKAWA
akili ya mjinga huwaza ujinga kusema mbinu za kichaga ni siasa cha maji taka .
Tuambie kuhusu UKAWA kwanza nani atapasuka ushahidi umeuona gazeti la Mwananchi!
siasa za maji taka hazitowapeleka popote mjiandaa ccm kuangamia baada ya majibu kutoka dodoma leoUnakataa nini we dada kwani madhumini ya muungano wa ukawa ni siri?kila mtu keshaelewa ujinga mlioplan.
nawashangaa sana wanaanza kuwanyoshea vidole UKAWA kwa changamoto za kawaida wakati wao wana hali mbaya kuliko mgonjwa anayekaribia kufa huko dodoma najua wengi wao presha zipo juu .
Endeleeni kuhangaika kwani matokea ya serikali za mitaa tuliona mafanikio yake UKAWA ni tumaini jipya kwa watanzania .View attachment 253549UKAWA SIO CHAMA CHA SIASA HAKITAPIGIWA KURA LABDA KAMA MMEKISAJILI LEO ASUBUHI!!!acha kupotosha umma!
View attachment 253549UKAWA SIO CHAMA CHA SIASA HAKITAPIGIWA KURA LABDA KAMA MMEKISAJILI LEO ASUBUHI!!!acha kupotosha umma!
.
wachumia tumbo tu mnapigana wenyewe teh teh teh
View attachment 253556View attachment 253557View attachment 253558
View attachment 253562