Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

Yaani mgonjwa wao karibia anakata kauli pamoja na madaktari bingwa wote kwenda kumganga lakini wapi.

UKAWA endelea kuwataiti hivyo hivyo waliingia mkataba na wewe bila kukujua kwa njaa zao ha ha ha ha wakabe koo mpaka wapasuke
image.jpgimage.jpgimage.jpgimage.jpg
 
​bora umelijua hilo teh teh teh ukawa ni genge la wachumia tumbo!

Ah siamini umekubali kabisa UBONGO wako uliwekwe -----?Du!!!!!!!!!!!!!!!! I salute UKAWA................:msela::cheer2::cheer2::cheer2::whoo::whoo::whoo:
 
magazeti ya udaku hayo mpelekeeni mumeo akafungie maandazi.
Wewe mama umetumwa na hawala yako kuwatetea hao Ukawa, ushindwe a ulegee, wanaanza kushikana mashingo wenyewe kwa wenyewe, hawapati kitu mwaka huu, wachumia matumbo tu hao.
 
View attachment 253584bado sekunde kadhaa utavuliwa tu we subiri

Sasa atakaye vuliwa nani?Maana inaelekea umezoea kuvuliwa sana ndiyo maana unadhani wote tunavuliwa.Haya tueleze anayekua nani hasa..........Maembe,Lo-Hasa.Wachira,Miguu Mchemba...........yupi hasa maana huko mpaka kikao leo kiishe sijui kama mtamaliza salama yaani either:boxing::boxing: au :hatari::hatari:
 
Naona TUMBO la kuhara limekupata....pole pole utafika tu................Mwenzio yule aliambiwa kule mjengoni.............atulie kama ananyolewa vile hahahahaha

Ninaona hata signature yako inaonyesha FUATA NYUKI ULE ASALI = FUATA MAFISADI UPATE PESA
 
Naona TUMBO la kuhara limekupata....pole pole utafika tu................Mwenzio yule aliambiwa kule mjengoni.............atulie kama ananyolewa vile hahahahaha
Mpuuzi wewe umepungukiwa na akili ndo maana hao mabwana zako wa Ukawa wanakutumia kama ndoo ya chooni!
 
Ninaona hata signature yako inaonyesha FUATA NYUKI ULE ASALI = FUATA MAFISADI UPATE PESA
Mchumia tumbo wewe huna jipya humu ndani, unapoteza muda wa bure, kisa umelipwa jero jerokuteteta wajinga hao wa Ukawa
 
Back
Top Bottom