ccm wanataka kura ya wazi ili kuona watakaowasaliti kwenye kutounga mkono serikali 2 ila kaeni mkijua mda wa kutishana umepita...kama mnapingana na MAJIRA NA NYAKATI tutawaona...kumbe ndo mana mlimuuwa DR. MVUNGI kwa msimamo wake dhidi ya serikali 3..damu yake itawalilia milele, kama mkifosi kujitengenezea katiba ya CCM lazima nchi iingie kwenye vita watz wa sasa sio wale wa mwaka 47..