Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Udikteta wa Magufuli haikubaliki. Ni Rais wa muhula mmoja. Arudi zake Chato. Ni Rais mwenye weledi duni kabisa. Hata lugha hususan kiingereza hajui.
 
Mwenye macho anatazama mwenyewe na mwenye akili anajua anachokifanya.

Nchi lazima iwe imara kwa katiba ,bila katiba nchi inakuwa dhaifu Sana

Ni ukweli nchi bado ni dhaifu na ndo maana mtu moja au kikundi cha watu fulani wanaweza kufanya chochote na hata hatua wasichukuliwe

Tazameni maneno ya ccm majukwaani inapeleka hii nchi wapi

Askari wa nchi hii imekuwa ya ccm na kuacha uweledi wake,na huku wamefumba macho na kusahau kabisa ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

Usaliti ni mwingi sana hii ni hatari sana na adui anapoingia nchini ni uwazi kwamba tunaweza kuumizwa vibaya kutokana na usaliti ni mwingi sana,siri ya nchi hulindwa kwa katiba imara ya nchi

Kiongozi tunaemuona ni baba wa Tanzania nzima na kujisifu kuwa maendeleo hayana chama,huyo huyo anasema tusipochagua wa upande wake hawezi kufanya nao kazi ,huo ni ubaguzi ambao wasisi wa taifa hii waliukataa

Wengine wanajiona wao ndo wana hati miliki ya nchi hii na kuona wengine ni takataka ,sijui wanatupeleka wapi hawa watu,

Umoja na mshikamano hamna tena,watanzania tunabaki na kuendelea kuishi Kama maadui kwenye nchi yetu

Nimesoma na kuelewa sera ya vyama hivi viwili nimeamua kuchagua moja imara na bila kushawishiwa na mtu nimetumia akili yangu na nimejiridhisha na kuona nimechagua sehemu bora zaidi

Uonevu wa viongozi na matamko inayotugawa sisi wananchi naona kabisa tukiendelea kukaa kimya ni kwamba tunapoteza hii nchi

Tunakushukuru kwa uliyoyafanya Ila tupishe tu mkuu tumekuchoka pamoja na hayo uliyofanya wewe nenda tu tuachie nchi yetu pendwa

Nchi hii ni ya wananchi si ya kiongozi fulani ,katiba ya nchi imara hulinda raia wake na kumfanya kiongozi kuheshimu raia wake.

Asante Mungu wewe ni mkuu na utaendelea kuwa mkuu siku zote,hakika neno lako ni lazima litimie,
Kura za watanzania wote bila kujali makabila, itikadi au dini ni kwa Tundu Antiphas Lissu
 
Mwenye macho anatazama mwenyewe na mwenye akili anajua anachokifanya.

Nchi lazima iwe imara kwa katiba ,bila katiba nchi inakuwa dhaifu Sana

Ni ukweli nchi bado ni dhaifu na ndo maana mtu moja au kikundi cha watu fulani wanaweza kufanya chochote na hata hatua wasichukuliwe

Tazameni maneno ya ccm majukwaani inapeleka hii nchi wapi

Askari wa nchi hii imekuwa ya ccm na kuacha uweledi wake,na huku wamefumba macho na kusahau kabisa ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

Usaliti ni mwingi sana hii ni hatari sana na adui anapoingia nchini ni uwazi kwamba tunaweza kuumizwa vibaya kutokana na usaliti ni mwingi sana,siri ya nchi hulindwa kwa katiba imara ya nchi

Kiongozi tunaemuona ni baba wa Tanzania nzima na kujisifu kuwa maendeleo hayana chama,huyo huyo anasema tusipochagua wa upande wake hawezi kufanya nao kazi ,huo ni ubaguzi ambao wasisi wa taifa hii waliukataa

Wengine wanajiona wao ndo wana hati miliki ya nchi hii na kuona wengine ni takataka ,sijui wanatupeleka wapi hawa watu,

Umoja na mshikamano hamna tena,watanzania tunabaki na kuendelea kuishi Kama maadui kwenye nchi yetu

Nimesoma na kuelewa sera ya vyama hivi viwili nimeamua kuchagua moja imara na bila kushawishiwa na mtu nimetumia akili yangu na nimejiridhisha na kuona nimechagua sehemu bora zaidi

Uonevu wa viongozi na matamko inayotugawa sisi wananchi naona kabisa tukiendelea kukaa kimya ni kwamba tunapoteza hii nchi

Tunakushukuru kwa uliyoyafanya Ila tupishe tu mkuu tumekuchoka pamoja na hayo uliyofanya wewe nenda tu tuachie nchi yetu pendwa

Nchi hii ni ya wananchi si ya kiongozi fulani ,katiba ya nchi imara hulinda raia wake na kumfanya kiongozi kuheshimu raia wake.

Asante Mungu wewe ni mkuu na utaendelea kuwa mkuu siku zote,hakika neno lako ni lazima litimie,
Midazolam kama benzodiazepine😅😅😅
 
Usaliti wa lissu kwa Nchi ya Tanzania uko wazi
Hii laana ya usaliti haitamwacha salama lissu
Usaliti wake nini? Una akili timamu kweli kichwani wewe?
Usipende kukurupuka kama uharo, ni vyema utafakari unachoandika na uwe na hoja na unachoandika!
 
Mwenye macho anatazama mwenyewe na mwenye akili anajua anachokifanya.

Nchi lazima iwe imara kwa katiba ,bila katiba nchi inakuwa dhaifu Sana

Ni ukweli nchi bado ni dhaifu na ndo maana mtu moja au kikundi cha watu fulani wanaweza kufanya chochote na hata hatua wasichukuliwe

Tazameni maneno ya ccm majukwaani inapeleka hii nchi wapi

Askari wa nchi hii imekuwa ya ccm na kuacha uweledi wake,na huku wamefumba macho na kusahau kabisa ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

Usaliti ni mwingi sana hii ni hatari sana na adui anapoingia nchini ni uwazi kwamba tunaweza kuumizwa vibaya kutokana na usaliti ni mwingi sana,siri ya nchi hulindwa kwa katiba imara ya nchi

Kiongozi tunaemuona ni baba wa Tanzania nzima na kujisifu kuwa maendeleo hayana chama,huyo huyo anasema tusipochagua wa upande wake hawezi kufanya nao kazi ,huo ni ubaguzi ambao wasisi wa taifa hii waliukataa

Wengine wanajiona wao ndo wana hati miliki ya nchi hii na kuona wengine ni takataka ,sijui wanatupeleka wapi hawa watu,

Umoja na mshikamano hamna tena,watanzania tunabaki na kuendelea kuishi Kama maadui kwenye nchi yetu

Nimesoma na kuelewa sera ya vyama hivi viwili nimeamua kuchagua moja imara na bila kushawishiwa na mtu nimetumia akili yangu na nimejiridhisha na kuona nimechagua sehemu bora zaidi

Uonevu wa viongozi na matamko inayotugawa sisi wananchi naona kabisa tukiendelea kukaa kimya ni kwamba tunapoteza hii nchi

Tunakushukuru kwa uliyoyafanya Ila tupishe tu mkuu tumekuchoka pamoja na hayo uliyofanya wewe nenda tu tuachie nchi yetu pendwa

Nchi hii ni ya wananchi si ya kiongozi fulani ,katiba ya nchi imara hulinda raia wake na kumfanya kiongozi kuheshimu raia wake.

Asante Mungu wewe ni mkuu na utaendelea kuwa mkuu siku zote,hakika neno lako ni lazima litimie,

natamani uchaguzi upite zile kesi zianze kuskilizwa, na hii kutukana mapolisi kuwadharau akiwaita MAJINGA, wafanye yao maaana izi dharau zmezidi
 
Back
Top Bottom