Au unisaidie majibu kwa niaba maana anataka kuvunja amani[emoji14][emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo unashindanisha majina sio ?JamiiForums imejaliwa kuwa na warembo wengi lakini nimeona nichukue hizi sample mbil na watu mpige kura zenu ili tujue ni nani ataibuka mshindi.
Mshindi atashindanishwa na Money Penny kutoka kundi B.
Karibuni
Duh...! Sipati picha.....Yes iwe mwisho.... Iwe mwisho kufunguliana nyuzi ambazo hazina kichwa wala miguu
umeanza sasa kupamba mavi maua nduguUna akili sana jibu lako linatosha
My babe, acha tujipigie kura wenyewe tuπ
[emoji7][emoji7][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mwaaaaaaaah[emoji16][emoji16]My babe, acha tujipigie kura wenyewe tu[emoji3]
And the most handsome man in Jf ni wewe darling Kepph [emoji7]
Asubuhi njemaa
Hahahaha, huo muda wa kumfuatilia sasa ndio kipengele Mkuu ,ila hongera zake kwa sifa hizoFuatilia comments za Depal, utagundua ni mwanamke fulani yupo vizuri kichwani kwenye nyanja zote za maisha kuanzia dini hadi mahusiano.
Naona umemwagiwa sifa ,kumbe uko vzr,hahahahaUwa tunakutana jukwaa la dini tu, sikujua kama MMU nako unapita [emoji3][emoji3]
Haha RafikiNaona umemwagiwa sifa ,kumbe uko vzr,hahahaha
ππ[emoji7][emoji7][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mwaaaaaaaah[emoji16][emoji16]
financial services
K,K
Hahaha... Tupo duniani Mkuu.Uwa tunakutana jukwaa la dini tu, sikujua kama MMU nako unapita ππ
Hahahaha, hongera RafikiHaha Rafiki