Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yes Mtani. Na kwa hali hiyo mpaka shule zifunguliwe tutaona mengi zaidi ya haya. 😅Hahahaha, wanaita 'local transmission'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Mtani. Na kwa hali hiyo mpaka shule zifunguliwe tutaona mengi zaidi ya haya. 😅Hahahaha, wanaita 'local transmission'
7,800 inasakwaTupe picha zao kwanza maana hatujawahi waona
Mpotezee, stress tu si unajua.44mg44
Tuheshimiane pls, na ninaomba iwe mwisho. Anonymity isikuendeshe kama gari bovu
Mkuu naona unaamua kuwa neutral.Mie kura yangu nadhani imeharibika au kupotea
Kaka lait hizo sitiresi zingekuwa zinaongea zingeshakataa mana tunazisingizia mnoo. 😅😅Mpotezee, stress tu si unajua.
Hahahaha, dah kazi kweli kweli MtaniYes Mtani. Na kwa hali hiyo mpaka shule zifunguliwe tutaona mengi zaidi ya haya. [emoji28]
Hahahaha, Mkuu hakuna naye mjua hivyo siwezi tia nenoMkuu naona unaamua kuwa neutral.
Watu maisaraaaaaaa hahahaahahaahhah
Ila tutafika tu Mtani Mdogo mdogo.Hahahaha, dah kazi kweli kweli Mtani
Yeah kdg kdg, sasa sijui watapiga lockdown ya kimtindo au wataacha tu maana, watu tumegeuka wazazi, kusafiri hatuwezi tabu tuIla tutafika tu Mtani Mdogo mdogo.
Kundi D?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanna die?!
Hahahaha
Sisi wazee tupumzisheni hebu. 😎😎
Mpaka sasa haijajulikana Mtani. Ila tusubiri tuone itakuwaje.Yeah kdg kdg, sasa sijui watapiga lockdown ya kimtindo au wataacha tu maana, watu tumegeuka wazazi, kusafiri hatuwezi tabu tu
Naweza nkakubaliana na wewe ndugu yangu. LohhKaka lait hizo sitiresi zingekuwa zinaongea zingeshakataa mana tunazisingizia mnoo. 😅😅
Saa zingine mtu anaamua tu kupima akili za wana jf huku akiwa na lake alilodhamiria. 🤣🤣
Wadhani Kaka. Sometimes jicho la mbali tusilidharau pia. Lol 😀Naweza nkakubaliana na wewe ndugu yangu. Lohh