Kura za huruma ni zipi? CCM walidai Lissu anatafuta kura za huruma, kadhalika Wamarekani wanadai Trump anazitafuta hizo pia

Kura za huruma ni zipi? CCM walidai Lissu anatafuta kura za huruma, kadhalika Wamarekani wanadai Trump anazitafuta hizo pia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naomba wabobezi wa siasa za uchaguzi mnipe tafsiri ya kura za huruma.

Kuna watu walidai Tundu Lisu anatafuta kura za huruma na sasa baada ya Trump kuugua Corona baadhi ya Wamarekani wanadai Rais huyo wa Marekani anatafuta kura za huruma.

Kura za huruma zinapigwaje?

Maendeleo hayana vyama!
 
Huyo Kibaraka wenu Mnamjaza upepo Hana lolote na Hata 20% hata pata Never
 
Naomba wabobezi wa siasa za uchaguzi mnipe tafsiri ya kura za huruma.

Kuna watu walidai Tundu Lisu anatafuta kura za huruma na sasa baada ya Trump kuugua Corona baadhi ya Wamarekani wanadai Rais huyo wa Marekani anatafuta kura za huruma.

Kura za huruma zinapigwaje?

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hivi na wewe threads zako zinasubirishwa na mods kwa uhakiki kabla hazijaenda hewani?
 
Chadema washashindwa huu uchaguzi. Watanzania bado wanaipenda CCM kwa kiasi kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom