MILKYWAY GALAXY
JF-Expert Member
- Dec 12, 2008
- 204
- 87
Ngugu zangu katika mapambano,
Nashtushwa sana na hii trend ya kura za raisi wetu mtarajiwa "the real DR" Slaa kupungua polepolee katika hii forum makini JF.
Je ni sababu ya mamluki wa CCM?
Je ni demokrasia iko kazini?
Je ni umaarufu wa raisi wetu unashuka?
Je ni umaarufu wa JK unapanda?
etc?
Nashtushwa sana na hii trend ya kura za raisi wetu mtarajiwa "the real DR" Slaa kupungua polepolee katika hii forum makini JF.
Je ni sababu ya mamluki wa CCM?
Je ni demokrasia iko kazini?
Je ni umaarufu wa raisi wetu unashuka?
Je ni umaarufu wa JK unapanda?
etc?