Kwani mawaziri wote wamepigiwa Kura na watu wa kyela/wanyakyusa?..mi nadhani his time was up.. sometimes changes is inevitable.Hakuna igizo au mpango fulani hapa? Kwa nini ni yeye tu peke yake kati ya mawaziri?
Watatu Ni yupi? Mi nafahamu Mwakyemve na Mgumba basiwewe kutoka mawaziri 40 wameshindwa kura za maoni watatu
Halafu mawaziri wote na wengine ambao nahisi kuna namna wameshinda kwa kuzoa mikura yaani tofautisha na wengine waliohangaika kushinda
Mwakyembe hata angegombea na Bambo, Bambo angepita
maswali ya kijinga Kama haya ndo yanayotufanya tuendeleee kuwa maskini Sasa Kama sababu yy ni Waziri kwamba lazima apite palikuwa na umuhimu gani wa kura za maoni?Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Mwakyembe hata angegombea na Bambo, Bambo angepita
Mwakyembe apungze kuweka blichi kwenye Nywele
Mwakyembe na Muhogo mchungu, muhongo mchugu mshindi
Hakuna igizo au mpango fulani hapa? Kwa nini ni yeye tu peke yake kati ya mawaziri?
Dharau na kebehi
Duh, huyu so ndio Second Lady wetu? Nadhani Kamati Kuu itapindua meza kibabeNi Angela Kairuki
Wewe na Nani??Sisi tukusaidieje!?
Mimi na chama...Wewe na Nani??