Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ulinkafu masamila ?Mgonile lusajo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulinkafu masamila ?Mgonile lusajo
😆😆😆Huyo Kinanasi ni mkinga au mnyakyusa?
halafu ni muislamHuyo Kinanasi ni mkinga au mnyakyusa?
Huyo Kinanasi ni mkinga au mnyakyusa?
Sisi tukusaidieje!?Jamani kitwanga nnavompenda.. [emoji17]
Alijibu maswali kwa dharau huyu mzeeKwanza anaulizwa swali kwenye mkutano analeta dharau eti oh! Wewe unaniuliza swali Mimi daktari wa falsafa, Yani ego imezidi yule mnyaki mpaka amejisahau huyo anayemjibu ndo mpiga kura anayemtegemea.
UnaboaNiliuliza hilo swali mkuu kabla we haujauliza
Sababu ni hii
View attachment 1513139
Unatudanganyaje hv hv tu mchana kweupeeeeKatika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Lwenge ndio waziri wa ujenzi?Mwakyembe, Maghembe, Kitwanga, Lwenge nk kwa sasa wapumzike tu.
Siasa za majimboni zilishawatupa toka 2015 lakini wakalazimisha game iwabebe.
Hata kwa bunduki mwaka huu wasingeweza kuvuka.
Mie mwenyewe sijamuelewa point yake..sio lazima wote wapiteHebu twambie wewe,unahisi nini?
Hayakuhusu. We pambania warembo wa viti maalumu ufipaKatika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni.
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni.
Manaibu waziri pia woote, yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita.
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri, nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri.
Pili, nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Hilo la Kapuya hata mimi limenishangaza sana. Nahisi huenda kuna nati fulani kichwani haziko sawa sawa kwa wale makada wa CCM wa Kaliua waliompa kura.Nimeona Kapuya kapita...hii imekaaje??
Kwa kifupi sana wewe jua tu Katani Katani kaangukia pua. Ameshindwa vibaya.Naombeni matokeo ya Tandahimba kule kwa Katani aliye toka CUF akaenda CCM .