Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wakurya Wana shida sanaHata Mwita Waitara kashinda?!
Kama Waitara kapita, basi hiyo namna itakuwa ipo. Pia nimeshitushwa na massive failure ya wasaliti wote isipokuwa Dk Mollel ambaye ni naibu waziri.Waitara kapita mkuu
Omary mgumba?Katika hali ya kushtua na inayopiga butwaa ni kubwagwa kwa Mwakyembe kura za maoni
Mawaziri wa kiume woote kasoro yeye tu wamepita kwenye kura za maoni
Manaibu waziri pia woote , yaani wote hata wale waliotoka upinzani wamepita
Cha kwanza nakosa imani na kura za maoni majimbo yaliyokuwa na mawaziri , nanusa harufu fulani ya mkono wa mtu katika kura za maoni majimbo ya mawaziri na manaibu waziri
Pili ,nashindwa kuwa na jibu inakuaje Mwakyembe peke yake waziri katika mawaziri wote wa kiume yeye pekee tu apoteze kura za maoni?
Karata za mtu fulani zimekataliwa majimbo 2 tu:- Kigamboni na Kyela tu. Lkn ukweli ni kwamba kuna namna. Naendelea na ukusanyaji wa data nitaleta uzi humu very soon.
Mkuu kwani ye ni nani mpk asipigwe chini?Hakuna igizo au mpango fulani hapa? Kwa nini ni yeye tu peke yake kati ya mawaziri?
Bujibuji bhanaMwakyembe hata angegombea na Bambo, Bambo angepita
Yeah huyo mzee mhuni huni sanaWanyakyusa sio watu kama unabisha nenda kaishi nao.MWAKYEMBE ALIKUWA ANA WA FOOL KUMBE WANAMCHEKI TU LEO KAWATEGEA SHINGO WAMEPITISHA KISU.
Mwakyembe ni mzee mhuni pia muongo muongo.
Duh sikujua hiloNdio wakurya Wana shida sana
Hakuna cha ziada alichofanya kyela uy baba, kyela mjini tu hakuna barabara!! na ukizingatia ni hiyo inayotumika kupita kuelekea kwao! sio kwamba ana dharau tu bali HAJITAMBUI PIA. #heri kyela ipumue kwasasaWanyakyusa sio watu kama unabisha nenda kaishi nao.MWAKYEMBE ALIKUWA ANA WA FOOL KUMBE WANAMCHEKI TU LEO KAWATEGEA SHINGO WAMEPITISHA KISU.
Mwakyembe ni mzee mhuni pia muongo muongo.
Kwani huyo mzee amekwama wapi?Wanyakyusa sio watu kama unabisha nenda kaishi nao.MWAKYEMBE ALIKUWA ANA WA FOOL KUMBE WANAMCHEKI TU LEO KAWATEGEA SHINGO WAMEPITISHA KISU.
Mwakyembe ni mzee mhuni pia muongo muongo.
Inategemea alivyoishi na wapiga kura wake.Hakuna igizo au mpango fulani hapa? Kwa nini ni yeye tu peke yake kati ya mawaziri?
wewe kutoka mawaziri 40 wameshindwa kura za maoni watatuKuna naibu Waziri pia kaangushwa na Babutale huko Morogoro